Cable inaweza ku slow down charger katika simu?

Cable inaweza ku slow down charger katika simu?

Bingili

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
317
Reaction score
815
Nina iphone X kwa kawaida huwa nachaji dk 30 simu inakua 80%

Bahati mbaya nimepoteza cable yake nimebaki na charger tu.

Nimepita kariakoo nikanunua cable kwa sh 5k.

Cha ajabu sasa hiyo cable ndani ya dk 30 simu inasoma 20%, nahitaji masaa ya kutosha kujaza simu

Nakwama wapi wadau.

IMG_2013.jpg

IMG_2014.jpg
 
Cable ya elfu 5[emoji28][emoji28]

Unategemea nini mkuu??

Yes cable inahusika kwa 50% speed ya kujaza simu,adapter ikiwa OG cable ya mchongo charger haijai haraka au haijai vizuri pia.

Mkuu cable nzuri bajeti yake ipoje?

Na nizingatie nini haswa angalau kwa macho tu
 
Mkuu cable nzuri bajeti yake ipoje?

Na nizingatie nini haswa angalau kwa macho tu
Issue hapa mkuu hata ukitoa hio hela nyingi hakuna Warranty kwamba utapata OG. Cable OG mjini za uhakika toka verified store unaweza ukaambiwa hata 150,000.

Unaweza angalia hapa ya bei rahisi 85,000

Huwa kama mimi ama member wengine humu wazoefu wanatumia Cable za kichina ila brand zilizochangamka, mfano unaweza tafuta waya wa iphone uliotengenezwa na Anker, Baseus etc. Unaweza pata 10,000-40,000 kutegemea na unachotaka, cheki Aliexpress.
 
hakuna kitu hapo
wanatumia nyaya nyembamba sana ndani, inabana kupitisha moto wa kutosha
Kitaalam inashindwa kubeba AMPS sahihi inapelekea chaji kushindwa kutoa watts sahihi ili iweze kuichaji simu kwa haraka

Bei si tatizo 7bu unaweza nunua hata wa bei juu na ikawa shida
Km ukifika kkoo usipate tabu kuzunguka madukani kama si mjanja wewe waachie wale vitorori wakutafutie wewe waeleze shida yako ni ni haswa
 
Kitaalam inashindwa kubeba AMPS sahihi inapelekea chaji kushindwa kutoa watts sahihi ili iweze kuichaji simu kwa haraka

Bei si tatizo 7bu unaweza nunua hata wa bei juu na ikawa shida
Km ukifika kkoo usipate tabu kuzunguka madukani kama si mjanja wewe waachie wale vitorori wakutafutie wewe waeleze shida yako ni ni haswa

Vitoroli ndio wakina nani mkuu [emoji23]
 
Tafuta usb og....kwa wahindi wabongo watakusumbua
 
Kitaalam inashindwa kubeba AMPS sahihi inapelekea chaji kushindwa kutoa watts sahihi ili iweze kuichaji simu kwa haraka

Bei si tatizo 7bu unaweza nunua hata wa bei juu na ikawa shida
Km ukifika kkoo usipate tabu kuzunguka madukani kama si mjanja wewe waachie wale vitorori wakutafutie wewe waeleze shida yako ni ni haswa
Umemaliza kila kitu sina cha kuongeza mkuu
 
Tafuta usb og....kwa wahindi wabongo watakusumbua
Swala la charge lilinitesa muda sana kila mara hapo k.koo nilinunua fast charge kwa 15000 lakini hazikunifurahisha.kuna charger moja hivi nimenunua kwa 25000 wanaziita za mtumba ni charger nzuri sana
,nimeupload picha yake hapa imegoma
 
Back
Top Bottom