Bye bye tigo


Ila wamesahau tenga lao bovu...tumetoka tehe tehe tehe
 
Polen sana wakuu mimi natumia voda nikijiunga kifurushi cha wik mtandao unakuwa chin sana lakin nikijiunga cha 500 speed za ajabu na akichelewi kuisha sasa huwa najiulza tatizo nin sipat jibu....daaaah jamaa wanatupga sana hela
 
Kinachoniuma sana hiki kifurushi wamekiondoa kimya kimya...na hawasemi kwenye matangazo yao.. Hapa hata mimi watakuwa wamenipoteza...elfu 50 ya lazima hiyo ngumu sana
 
Sijaona malalamiko ya Airtel kwa simu , je wako safi ? mwenye kutumia vifurushi vya Airtel atupe data pls...
 

wtf....!
 
Bora kule Voda. na wenyewe ni wezi lkn service zao hadi raha. Tigo majanga yaani kama 0713.
 

Mim nmeshangaa sana, nilikuwa najiunga mara nyingi kifurushi cha week 4999. Kuna siku nikaamua nijiunge na bundle la 15000/mwezi. Tangu hapo menu yao ya week inaishia 15,000/-, ile ya 4999/- waneifuta kwangu, nimewauliza wakasema eti mimi ni tajiri, siwez kurud nyuma, yule dada nikamwambia lain yenu natupa chooni, huwez kunilazimisha kuwa mimi ni tajir kwa utashi wako. Ni sawa na mtu unakula ugali daily, siku ukiamua kujitutumua na kununua pilau si kweli kwamba ushakuwa tajiri na kuwa ugali hutakula tena! Ni falsafa mbaya kuwahi kushuhudiwa. Nini kaz ya TCRA? Malalamiko ya walaji yapelekwe wapi?!
 
huwa nawatania(tigo) kwa kuwaita ma-buzi(buzz)..wanachuna hao balaaaa.,..
 
Kinachoniuma sana hiki kifurushi wamekiondoa kimya kimya...na hawasemi kwenye matangazo yao.. Hapa hata mimi watakuwa wamenipoteza...elfu 50 ya lazima hiyo ngumu sana

Njia sahihi ya kulalamika ni kuhama huko uliko yapo makampuni mengi ya simu
 
huwa nawatania(tigo) kwa kuwaita ma-buzi(buzz)..wanachuna hao balaaaa.,..

We endelea kuwatania siku ukistuka wamekuchuna mpaka nyama umebaki mifupa...ndo utacheka vizuri...
 
Mimi tigo nimeshawashiti long time. Nipo Mwanza jiji internet yao kwenye modem bado wanatumia EDGE (ya kizamani). Wenzao voda na airtel wanatumia 3G (ya kisasa). Tigo na Zantel ni majanga huku Mwanza, sina hamu nao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…