Apollo tyres
Senior Member
- Nov 16, 2024
- 134
- 363
Huyu Ndugu Byabato , anavyosema anaweka Mbunge anayemtaka anakuwa anamaanisha nini?
Je ikiwa yeye hakuwa Mgombea alipata kiburi wapi cha kusema Mimi "Naweka Mbunge ninayemtaka"
Naomba Ccm Kagera na Ccm TAIFA wafatilie hili Swala .
Je ikiwa yeye hakuwa Mgombea alipata kiburi wapi cha kusema Mimi "Naweka Mbunge ninayemtaka"
Naomba Ccm Kagera na Ccm TAIFA wafatilie hili Swala .