Bwiru boys sekondary - sayansi bila physics

Bwiru boys sekondary - sayansi bila physics

Ti Go

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
1,062
Reaction score
1,087
Kuna kijana wa rafiki yangu kachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari ya wavulana bwiru, cha kunishangaza shule ile haina soma la physics. Hii imekaaje? Akimaliza kidato cha 4 anàsoma mchepuo UPI kidàto cha 6 wa sayansi?
 
Kuna kijana wa rafiki yangu kachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari ya wavulana bwiru, cha kunishangaza shule ile haina soma la physics. Hii imekaaje? Akimaliza kidato cha 4 anàsoma mchepuo UPI kidàto cha 6 wa sayansi?
Nafasi ya Physics imechukuliwa na the most advanced subject liitwalo Engineering Science na History nadhani haipo kwa sababu masomo ya ufundi yamechukua nafasi yake,lakini akifaulu atachukua mchepuo wowote unaohusisha Physics!tena baadhi ya topics atazisoma O-level na huko mbele atafanya kurudia.hali itakuwa hivyo kama hiyo Bwiru ina masomo ya ufundi.
 
nilikuwa pale A level ila wale watoto wana masomo yao ambayo kiuhalisia ni sawa tu na hyo physics
 
Mkuu toa hofu kabisa hapo ipo engineering science na ufundi pia ,History hakuna apo Na incase amemaliza cha nne ataweza kuchukua mchepuo wowote wa Physics, Pcb,Pgm,Pcm tena akiwa nondo
 
Nashukuru kwa ufafanuzi wa kindugu na kirafiki,
 
Back
Top Bottom