GE2025 Bwege: Vyama vyote vya upinzani vilipaswa kuungana kususia uchaguzi kudai reforms

GE2025 Bwege: Vyama vyote vya upinzani vilipaswa kuungana kususia uchaguzi kudai reforms

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Kada wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani wa jimbo la Kilwa Kusini Selemani Saidi Bungara (Bwege) amesema anaamini kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kiko sahihi kusimamia 'No Reforms, No Election' na kwamba vyama vyote vya upinzani nchini ikiwemo chama chake ilipaswa waungane pamoja 'kususia' uchaguzi wa mwaka huu badala yake wangepambana kudai 'reforms'

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Septemba 04.2025 mwanasiasa huyo mkongwe nchini amesema hafurahishwi kuona ndani ya vyama vya upinzani kuna kile alichokitaja uwepo wa 'madalali' ambao wamekuwa wakitumika kwa namna moja au nyingine kukandamiza vyama vyao kwa maslahi yao binafsi.

 
Kada wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani wa jimbo la Kilwa Kusini Selemani Saidi Bungara (Bwege) amesema anaamini kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kiko sahihi kusimamia 'No Reforms, No Election' na kwamba vyama vyote vya upinzani nchini ikiwemo chama chake ilipaswa waungane pamoja 'kususia' uchaguzi wa mwaka huu badala yake wangepambana kudai 'reforms'

Soma pia: Tofauti ya CHADEMA na Vyama vingine vya siasa Tanzania ni kuwa CHADEMA ni foreign imported product vingine ni local products



Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Septemba 04.2025 mwanasiasa huyo mkongwe nchini amesema hafurahishwi kuona ndani ya vyama vya upinzani kuna kile alichokitaja uwepo wa 'madalali' ambao wamekuwa wakitumika kwa namna moja au nyingine kukandamiza vyama vyao kwa maslahi yao binafsi.
 
HAKUNA UPINZANI WAKUMPAMBANIA MWANANCHI TANZANIA HII HAKUNA.


Braza Pascal Mayalla ameongea sana KWENYE uzi wake HAWAJAJIPANGA japo kuwa yeye ni KADA KINDAKI.

Wapo ambao walimwelewa wapo ambao uchawa umo damuni waliishia kumtukana wakijiita Makamanda.

Lakini UZI WAKE UNAISHI NA MAONO YAKE YANAISHI BADO.
 
Katika hali yake ya kiafya Bwege hatakiwi kuwa mtu wa hasira hasira angepumzika siasa
 
Kada wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani wa jimbo la Kilwa Kusini Selemani Saidi Bungara (Bwege) amesema anaamini kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kiko sahihi kusimamia 'No Reforms, No Election' na kwamba vyama vyote vya upinzani nchini ikiwemo chama chake ilipaswa waungane pamoja 'kususia' uchaguzi wa mwaka huu badala yake wangepambana kudai 'reforms'

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Alhamisi Septemba 04.2025 mwanasiasa huyo mkongwe nchini amesema hafurahishwi kuona ndani ya vyama vya upinzani kuna kile alichokitaja uwepo wa 'madalali' ambao wamekuwa wakitumika kwa namna moja au nyingine kukandamiza vyama vyao kwa maslahi yao binafsi.

Kwa idadi ya vyama vya upinzania si tu walitakiwa kuungana kudai reforms bali kuwa na chama chenye nguvu kukabiliana na watawala. Reforms zinaweza kuwepo na mkaishia kugawana kura, sina hakika kama chadema pekee wanaweza kushinda nusu ya majimbo ya uchaguzi hata kama wao ndio watajigeuza kuwa tume huru ya uchaguzi.
 
Kwa mtu yeyote MAKINI atakubaliana na hii movement ya NO REFORMS NO ELECTION..ingerudisha thamani ya KURA na mpigakura
 
Hivi ni V8 tu au hadi kujaziwa mafuta na madereva kwa kipindi chote cha kampeni? Msaada kwenye tuta wakuu
 
Back
Top Bottom