GE2025 Bwege: Heche aliniambia walitaka kwenda ACT lakini Zitto aliwakataa kwa kuwa wangemuaharibia kwani aliahidiwa mambo mazito na Rais

GE2025 Bwege: Heche aliniambia walitaka kwenda ACT lakini Zitto aliwakataa kwa kuwa wangemuaharibia kwani aliahidiwa mambo mazito na Rais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mwanachama wa ACT Selemani Bungala Maarufu kama Bwege anaeleza kuwa wakati mambo yanatokota kipindi cha Mbowe pale CHADEMA, Heche na wenzake walitaka kuhamia ACT Wazalendo lakini Zitto aliwakataa kwa sababu wangeendeleza siasa zao za maneno makali na hivyo kumuharibia kwa Rais ambaye alikuwa amemuahidi mambo mazito. Na hiyo ndiyo sababu ya Heche na Lissu kuendeleza mapambano ndani ya CHADEMA kumuondoa Mbowe kupitia uchaguzi

1758803614883.jpeg

Je, ni mambo gani Zitto aliyoahidiwa au ndiyo huo ubunge wa Kigoma Mjini?

Soma pia >> GE2025 - Bwege amtaka Zitto ajisafishe la sivyo hatoaminika tena na ACT itakuwa chama kama Polepole anavyokisemaga


 
Bwege atazamwe kama jina lake tu japo siwaungi mkono kina Heche na kundi lao la kidwanzi ila Bwege ni Bwege tu

USSR
 
Mwanachama wa ACT Selemani Bungala Maarufu kama Bwege anaeleza kuwa wakati mambo yanatokota kipindi cha Mbowe pale CHADEMA, Heche na wenzake walitaka kuhamia ACT Wazalendo lakini Zitto aliwakataa kwa sababu wangeendeleza siasa zao za maneno makali na hivyo kumuharibia kwa Rais ambaye alikuwa amemuahidi mambo mazito. Na hiyo ndiyo sababu ya Heche na Lissu kuendeleza mapambano ndani ya CHADEMA kumuondoa Mbowe kupitia uchaguzi.

Je, ni mambo gani Zitto aliyoahidiwa au ndiyo huo ubunge wa Kigoma Mjini?
View attachment 3478705
Itakuwa ni kweli, maana siku zote Zitto anatekeleza kazi za ccm kwa ustadi sana
 
Ndugu inabidi uelewe nchi inaongozwa na chama kimoja hivyo vingine ni undercover na ikitokea kikataka kusimama imala ndo yanatokea ya kutoke, umewahi jiuliza yanayotokea chadema kwa sasa why hayakuwepo kipindi cha Mbowe?
Nakupata Vizuri mkuu, Polepole huwa anaziita ni Projects
 
Back
Top Bottom