Jamani bwawani hotel inapigwa bei kuna uwezekano wajanja wakainunua kwa bei ya kutupa kabisa ,ivi kama watu 300 tukichanga $3000.00 kila mtu si tunaweza kununua badala ya kuwachia wajanja ambao watainunua kwa dola laki moja au chini ya hapo ,kama watu tupo tayali tufanye mambo itakuwa ni kitega uchumi kizuri sana .