Bwana na Bibi ni mtu na Dada yake....

Wakuu heshima mbele....

Jirani na ofisini kwetu, kuna bwana mmoja ana kampuni yake na ana wafanyakazi kadhaa anaowamiliki. Dada yake (wa mwisho kuzaliwa kwao) ni katibu muhtasi wake na ndio wenye kampuni hiyo..

Kibaya zaidi, hawa watu ni mwaka karibu wa 10 wanatembea (kumegana) Mwanamume ameachana na mke wake na wakagawana kila kitu mpaka nyumba! Watoto wake jamaa hataki hata kuwasikia na ni wakubwa (miaka 15 - 20) Baba yao alikuwa akipinga sana ujinga huu, lakini bahati mbaya alifariki miaka miwili iliyopita. Mama yao alikuwa akiwasapoti eti kwa sababu ya biashara. Nae amefariki mwaka jana. Hivi sasa wanaishi pamoja kama mume na mke. Jamani Wakuu hii mnaionaje?:crying:
How are we gonna prove if your case story is true or fabricated? Something more of evidence to convince us, may be?
 
Tunashangaa nini kwani watu wa jinsia moja kumegana si ndio ajabu zaidi? na hawaishii hapo tu wanafunga na ndoa kudhibitisha kuwa wanapendana.Siwezi nikakubaliana na walio wengi, kuwa wanafanya hivyo ili biashara yao iende la hasha ,hako ni kajitabia ambako kanaweza kakajitokeza kwa watu ambao wanashindwa kuyaongoza mawazo yao kwenye mstari ulio onyooka.Inatokea siku bahati mbaya unatoka zako huko unakuta dada yako haja jisitiri sehemu nyeti basi kile kitu ukakiweka kichwani.Baadaye ukilala nijuavyo mimi ni kwamba kamla mtu hajapata usingiza baada ya kulala hujaribu kupitia mambo muhimu ya siku nzima kwa siku husika na hapo ndio tatizo la weza kuja kama tu usipo weza kupuuzia.Tatizo zaidi endapo itatokea mara nyingi zaidi kwani kitakuwa ni kitu cha kawaida.Ndipo hapo mtu anaanza kuharalisha kwani haiwezi kuingia,kwani hakuna mtu atakayejua kwani kijana wa kiume atafikiri pengine dada yake naye anapenda.
Vile vile kuna baadhi ya koo wana laana kama sio kuwa na hisia zilizo pitiliza,kwani hupenda vidudu vyao viwe vina chezeana kila sekunde sasa kila siku kuondoka kwenda kutafuta inakuwa sio bora apate mzigo wa fimilia yake,pengine huyo mama alikimbia muziki wa jamaa kwani ni maisha bila nguo za ndani kikisimama tu kinaingizwa haijalishi ofisini, nyumbani au kwenye gari.
 
FL1.. Ni balaa.. Mwanzoni tulifikiri ni uongo.. Lkn kila siku zinavyokwenda, mengi yanaonekana na kudhihirisha! Wana gari ambayo hakuna anaepanda zaidi yao.. Hupewi mtu lift hata iweje.
Dreamliner is this for real? REAL?
I am speechless , shocked!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom