Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,035
- 213
Wakuu heshima mbele....
Jirani na ofisini kwetu, kuna bwana mmoja ana kampuni yake na ana wafanyakazi kadhaa anaowamiliki. Dada yake (wa mwisho kuzaliwa kwao) ni katibu muhtasi wake na ndio wenye kampuni hiyo..
Kibaya zaidi, hawa watu ni mwaka karibu wa 10 wanatembea (kumegana) Mwanamume ameachana na mke wake na wakagawana kila kitu mpaka nyumba! Watoto wake jamaa hataki hata kuwasikia na ni wakubwa (miaka 15 - 20) Baba yao alikuwa akipinga sana ujinga huu, lakini bahati mbaya alifariki miaka miwili iliyopita. Mama yao alikuwa akiwasapoti eti kwa sababu ya biashara. Nae amefariki mwaka jana. Hivi sasa wanaishi pamoja kama mume na mke. Jamani Wakuu hii mnaionaje?:crying:
Jirani na ofisini kwetu, kuna bwana mmoja ana kampuni yake na ana wafanyakazi kadhaa anaowamiliki. Dada yake (wa mwisho kuzaliwa kwao) ni katibu muhtasi wake na ndio wenye kampuni hiyo..
Kibaya zaidi, hawa watu ni mwaka karibu wa 10 wanatembea (kumegana) Mwanamume ameachana na mke wake na wakagawana kila kitu mpaka nyumba! Watoto wake jamaa hataki hata kuwasikia na ni wakubwa (miaka 15 - 20) Baba yao alikuwa akipinga sana ujinga huu, lakini bahati mbaya alifariki miaka miwili iliyopita. Mama yao alikuwa akiwasapoti eti kwa sababu ya biashara. Nae amefariki mwaka jana. Hivi sasa wanaishi pamoja kama mume na mke. Jamani Wakuu hii mnaionaje?:crying: