Bwana harusi amuua baba yake kwa risasi

Bwana harusi amuua baba yake kwa risasi

ndio maana honeymoon tunahimizwa twende mbali.........
Haswaaa! Na hata kama ni karibu, basi maharusi wapewe nafasi jamani. Maana bi harusi unaweza jikuta unaanza na kibarua cha kuhudumia ndugu waliokuja kwenye harusi. Wakati mkiwa wenyewe mnaweza kuamua leo tusile, tulale tu...:tongue: All in all, ni habari ya kusikitisha, pole zao wafiwa na RIP marehemu.
 
Back
Top Bottom