Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,994
mmmmmmmhhhhh siku zote tushazoe bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe;wengine apumzike kwa amani;
naona sasa hivi imekuwa tofauti kabisa wachungaji wanasema bwana ametoa DECI serikali wameamua kuitwaa swali nauliza hapa nako jina la bwana libarikiwe ama??????? wenye majibu tusaidiane
naona sasa hivi imekuwa tofauti kabisa wachungaji wanasema bwana ametoa DECI serikali wameamua kuitwaa swali nauliza hapa nako jina la bwana libarikiwe ama??????? wenye majibu tusaidiane