Bwana ametoa DECI; serikali wametwaa

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
21,994
mmmmmmmhhhhh siku zote tushazoe bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana libarikiwe;wengine apumzike kwa amani;
naona sasa hivi imekuwa tofauti kabisa wachungaji wanasema bwana ametoa DECI serikali wameamua kuitwaa swali nauliza hapa nako jina la bwana libarikiwe ama??????? wenye majibu tusaidiane
 
Back
Top Bottom