Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,583
- 23,927
Kuna watu wajinga kama Mohamed Said, hawajui misingi iliyojengwa hadi Tanzania ikaitwa kisiwa cha amani...wanadhani amani hiyo ilishushwa tu kama manna kutoka mbinguni. Sasa wasubiri kuvuna walichokuwa wakikitafuta...kuna "red line" haikutakiwa kuvukwa! Wafuasi wake vipofu kama zomba, Ritz na wengineo kama kweli maji mmeyavulia nguo, sasa mkae tayari kuyaoga. Nina hakika wako Waislaam wengi tu wanaungana na wazalendo wa kweli wa taifa hili wasiokubaliana na haya matendo yenu ya kihuni kwa kutumia kivuli cha dini...enough is enough!