Rahma Nyusi
Member
- Jun 3, 2015
- 73
- 9
Mwenye majina ya hananasifu na tandale tunaomba atupostie tafadhali
yamebandikwa kwenye offis za kata.. ipo barababara ya kanisani wanasema kwa pinda. ipo karibu na show room ya magari.Majina ya hananasifu yamebandikwa wapi?
Kwa anaejua ofisi ya kata ya hananasifu anielekeze tafadhali
shuka studio ulizia kanisa la pinda ama baa ya stereoSijaipata fresh unajua mimi ni wa kata ya makumbusho bt makumbusho wamejaa so wametupunguza hananasifu,hivi nikifika mkwajuni si inabidi nifuate ile barabara inayoelekea shule ya hananasifu.Then nikifika hapo nielekee wapi?
poaShukran mkuu
Wakuu nasikia zoezi la uandikishaji limesogezwa mbele Hadi tarehe 22-7-2015, kwahiyo na semina itakua imesogezwa mbele
Lakn tarehe 19 nijumapili
Wakuu semina kwa manispaa ya ilala inafanyika wapi?