dory savoo
New Member
- Jun 29, 2015
- 3
- 0
Jamani majina ya walofanyiwa usaili yametoka na yameandikwa kwenye ofisi ya mtendaji kwenye Kata husika
Hivyo fika mapema kwa ajili ya kusign your place unless otherwise kwenye jina lako atapachikwa mtu
Mfanye hima yamebandikwa Leo
More info ni- pm
Sijaelewa apo
kuna kusign tena, kwa iyo usipoenda kusign inakuaje