sean kingkong
Member
- Jun 26, 2013
- 21
- 3
wamefanya uhuni gani mkuuTemeke wanefanya uhuni balaa. mkurugenzi
wamefanya uhuni gani mkuuTemeke wanefanya uhuni balaa. mkurugenzi
Temeke hao
Usaili wafanyiwa watu 180
Majibu kutoka wamechaguliwa watu 90
Temeke hao
Usaili wafanyiwa watu 180
Majibu kutoka wamechaguliwa watu 90
Itakuwa haikuhusu..!
Nimesikia fununu kwamba watabandika Leo jioni so check vizuri jioni au kesho asubuhi maana hata huku ukonga bado hawajabandikaAsalam Alekum wadau humu ndani,
Hivi updates za waliofanya usaili manispaa ya ilala ikoje? maana mpaka jana nimeenda kata huku kwetu segerea mtendaji hana taarifa wala za makisio kuhusu zoez hili! kwa anae jua mwelekeo wake atupe updates please.!!!
[We unafatilia wapi labda ndugu
Nijibu na mi ndo nikwambie mahala pa Kwenda kuyaangalia
hananasifu yapo tokea juzi.. na mwisho ni kesho tarehe 10Na kwa wale wenye taarifa kata ya hananasifu pia