Tuambie vizuri mkuu ni manispaa gani? je kwa manispaa zote?Nenda kwenye Kata yako uloombea then ukifika pale ukiona jina lako hulioni basi ndo uwaulizie wakwambie
What should you do rahma
Vip umepata mkuu make ulikuwa unajitahidi sana kutupa taarifa mkuu...Manispaa nyingine sina habari nazo kiukweli mkuu
Itakuwa haikuhusu..!Sorry sijakuelewa.Mimi nina kadi ya kupiga kura sasa hiyo habari ya kwenda ofisi ya kata nikafanye nini.Unadhani wote hawana kazi kama wewe.