Wanajf nina ndugu yangu amechaguliwa Sua. BVM,Ni yatima hana wazazi wote.
Cha kushangaza tumeangalia jina lake kwa waliopata mkopo hayumo.
Sasa jaman naombeni ushauri tufanyeje ili naye aweze kupata mkopo. maana asipopata mkopo ndo chuo bac tena!
daaaa inauma sana mpe moyo huyu best!mbona m nina 3 ya 16 arts lakin nimelamba parefu tu ila vyet vya vfo vya wazaz muhmu kama vp apande Heslb watamsaidia yatima wanapewa kipaumbele m nimelamba parefu had kuwazd wenye divsn 1&2 nimepata 3.9m.yatima akienda tu watamsikiliza inabid akafunguke kuwa yy n yatima daaaaa inauma sanaaaDiv 3,ni ngumu jamani kupata mkopo
samahi..Mkuu jina lilikuwemo kwa yale majina ya 1st round application..embu fafanua mkuu
Div 3,ni ngumu jamani kupata mkopo
Div 3,ni ngumu jamani kupata mkopo
Aisee pole sana ila inawezekana amechaguliwa chuo kingine na facult kubadilishiwa maana hata mimi nilichaguliwa kcmc lakini nikakuta wamenipelekat udom na loan hukohuko ningeangalia kcmc ningeishia kuangua kilio. Jaribu kuangalia kwenye options zote 8 alizoomba.