Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 13,025
- 26,063
hawezi kuwa muoga akaamua kuitaja Marekani
Ok.
hawezi kuwa muoga akaamua kuitaja Marekani
GSM ni mwananchi ...je Marekani ni mnyama ili tuelewe??Jinga lao kwani CCM haifadhiliwi na mafisadi walinde biashara zao za kando.?
Tunaona watu wanachangia hadi bilioni 10.
Kwanini mstiupe ushahidi wa kimaandishi hao mnaowaita mabeberu ila mkiwa mnatembeza bakuli la misaada mnawaita wahisani au marafiki katika maendeleo.
View attachment 3659211
GSM ni mwananchi ...je Marekani ni mnyama ili tuelewe??
Kama wamenyimwa ruzuku,tena ya halali wafanyeje? Wale kijani wanachota za walipa kodi wanavyotaka na ku force wafanyabiashara wakubwa wawachangie,hao je wana haki sana kuliko wengine?naona mods mmepunguza ukali wa maneno lakini hoja hii ni muhimu kitaifa
Na Bakwata wanai sapoti ccm😊Na kanisa pia linaifadhili chadema
unapataje ruzuku kama hujashiriki uchaguzi??Kama wamenyimwa ruzuku,tena ya halali wafanyeje? Wale kijani wanachota za walipa kodi wanavyotaka na ku force wafanyabiashara wakubwa wawachangie,hao je wana haki sana kuliko wengine?
Hii clip nilivyosikia neno "lakini, lakini" nikaishia hapo 😂Kuna watu walitangulia tu kuja duniani… there’s nothing special about them.
Mzee anajenga hoja kama anawahadithia wajukuu story za alfu lela ulela.
CCM pia inavuta toka kwa wezi waliotuibia Tegeta akina singasinga, warusi na wachina.Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,
Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?
Sidhani kama ni jambo baya CHADEMA kupewa fedha na wahisani. Nchi hizi ni wafadhili na wanatupa misaada mingi, hivyo ni lazima wahakikishe kuwa kunakuwa na demokrasia na utawala bora. Nothing new.Huyo mzee aulizwe ile miradi kwa hisani ya watu wa Marekani inapitia cdm? Ama hajui anaongea nini? Aweke ushahidi ni kiasi gani hao cdm wamepewa na Marekani, na serekali imepokea kiasi gani toka kwa wamerakani ili tupime asemacho. Bado huyo mzee yeye na Wasira wanafanya siasa outdated mno.
Hakuna chama cha siasa kisichofadhiliwa in one way or the other. Hata Chauma na ACT wanafadhiliwa vilevile, nashangaa kwanini Chadema ndio iwe story!Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,
Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?
Ruzuku wanayodai sio hii ya uchaguzi ambao hawajashiriki,wana madai ya ruzuku ya nyuma ambayo hawakupewa kwa makusudi. Iwapo unatetea kitu au unahitaji kumhukumu mtu msikilize kwanza,Kisha mhukumu baada ya kumsikiliza,usimhukume Kisha umsikilize; utakua umemuoneaunapataje ruzuku kama hujashiriki uchaguzi??
HURUMA SIO MALEZI
Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,
Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?