Butiku: CHADEMA wanafadhiliwa wala sio siri

Butiku: CHADEMA wanafadhiliwa wala sio siri

Mkurugenzi Mtendaji na rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Mzee Joseph Waryoba Butiku,

Hii nimeisikia kutoka kwenye moja ya podcasts zilizohusisha mahojiano kati ya waandaaji na aliyewahi kuwa katibu wa Rais Nyerere ndugu Butiku.
una maoni gani?

 

Attachments

  • 675c679920d4d64c27f242780da68a29.webp
    675c679920d4d64c27f242780da68a29.webp
    261.3 KB · Views: 1
Sidhani kama ni jambo baya CHADEMA kupewa fedha na wahisani. Nchi hizi ni wafadhili na wanatupa misaada mingi, hivyo ni lazima wahakikishe kuwa kunakuwa na demokrasia na utawala bora. Nothing new.

Hii hoja ilishakua takataka kitambo sana, kwani kufadhiliwa dhambi?

Nchi inafadhiliwa, yeye anafadhiliwa, kigoda cha mwalimu kinafadhiliwa, mama abduli anafadhiliwa na kina GSM, Habith Singh, Rostam, na mafisadi wengine lukuki tena hadharani tu, abduli pia anafadhiliwa, sisiemu inafadhiliwa, jekee anafadhiliwa, mwigulu anafadhiliwa pia, napi anafadhiliwa, nchi nzima makanisa, misikiti, mahospitali, mikoa na wilaya, halmashauri, masoko taasisi mbalimbali hata watu mmojamoja wanafadhiliwa kwa njia mbalimbali au wanajiona wao wana hatimiliki ya kufadhiliwa!

Na hizo fweza chadema wanaletewa na mabeberu kwa mifuko ya sandarusi kama jekee na timu yake walivyochota za Escrow ya IPTL kule Stanbic? Na wakati wanazipitisha chawa wa mama wanakua wapi? Wanapitisha airport? Bandarini kama kago? Au kwa ungo wa kalumanzila? na kina wambura na kingaye na kina Muliroo wanatazama tu?

Wakifadhiliwa wengine wanaumwa? Maumivu yakizidi si wakawaone wachawi wao? Tunguli si zipo?

Hebu watupumzishe sasa, watanzania sio wajinga tena
 
Chadema hii ambayo inachangisha wananchi na tone tone Butiku ni stupid rahana ya kumuuza Polepole inamtafuna Butiku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom