Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Safi sana
Mbona nyinyi mnavuruga taratibu za uchaguzi na bado mnajigamba hadharanicutelove,
Waliohusika wote wakamatwe wavune walichopanda. Tabia hii ikifumbiwa macho italeta madhara makubwa
Hapo ndipo walipobugi kwa kweli, jamaa kapewa kijiti amalizie relay kaamua kurudi walipotoka wenzake
View attachment 1256716
Mbona kuna mazao mengine wameyaacha? Walipaswa kutokomeza kila aina ya mmea, wahusika wa mashamba watakula huko kwa Magufuli.Habari kutoka jimbo la Butiama mkoani Mara zinaeleza kuwa uharibifu umetokea kwenye mashamba ya watendaji wanaosimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kile kinachoelezwa ni baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kukatwa majina yao View attachment 1256289
View attachment 1256290View attachment 1256291
Kweli Mkuu, kwani mchimba kisima huingia mwenyewe 🤣Hii methali ngumu sana mkuu
Habari kutoka jimbo la Butiama mkoani Mara zinaeleza kuwa uharibifu umetokea kwenye mashamba ya watendaji wanaosimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kile kinachoelezwa ni baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kukatwa majina yao View attachment 1256289
View attachment 1256290View attachment 1256291
Habari kutoka jimbo la Butiama mkoani Mara zinaeleza kuwa uharibifu umetokea kwenye mashamba ya watendaji wanaosimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kile kinachoelezwa ni baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kukatwa majina yao View attachment 1256289
View attachment 1256290View attachment 1256291
BINAFSI NIPONGEZE JUHUDI ZA WANANCHI WANAOCHUKIA UNYANYASAJI NA UKANDAMIZAJI NA ENDAPO WANANCHI KATIKA MAENEO YOTE YA WANANCHI WANGEKUWA NA UJASIRI KAMA HUU, USHAMBA WA WATAWALA WA AWAMU YA TANO UNGEPATA DAWA...…..SAFI SANA HUKO WALIPO WANYWE SODA NTAKUJA KULIPIAHabari kutoka jimbo la Butiama mkoani Mara zinaeleza kuwa uharibifu umetokea kwenye mashamba ya watendaji wanaosimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kile kinachoelezwa ni baada ya wagombea wa vyama vya upinzani kukatwa majina yao View attachment 1256289
View attachment 1256290View attachment 1256291
Na waliokata majina ya wagombea wa upinzani wafanyweje?cutelove,
Waliohusika wote wakamatwe wavune walichopanda. Tabia hii ikifumbiwa macho italeta madhara makubwa
Hao ndo wale walioenda ikulu?Zifuate nyumba za familia zao ndiyo ujumbe utafika vizuri zaidi, ifike sehemu watu waogope kushiriki uhuni wa jiwe
Ee uongozi wa pande zote usipotumia hekima tutaenda zaidiAisee siasa zinatufikisha huku?
Sina shaka ,uhuru wa bandia upo mwishomwishoZifuate nyumba za familia zao ndiyo ujumbe utafika vizuri zaidi, ifike sehemu watu waogope kushiriki uhuni wa jiwe
Dah,noma sanaMie nataka nimchomee pikipiki msimaizi wa uchaguzi, na najua naweza ntaleta mrejesho tu hapa JF