Habari za mda wanajamii. Natumai mko sawa kwa wale wenye changamoto za hapa na pale nawapa pole pia nawakumbusha ndio sehemu ya maisha yetu sisi wanadamu.
Ikiwa ni miezi michache imebaki tuingie katika uchaguzi wa serikali ya mitaa na takribani mwaka mmoja kuelejea uchaguzi mkuu wa madiwani,wabunge na rais.
Katita uchaguzi uliopita kulikuwa na ahadi nyingi kutoka kwa wagombea waliochaguliwa na hata walioshindwa. Wewe kama mwananchi unakumbuka ahadi gani ulipewa na je katika ahadi hizo ni ipi imetekelezwa kwa asilimia mia na zipi hazijatekelezwa?.
Nb. Wale ndugu zangu wa kawe mnakaribishwa sana kama reference.
Ikiwa ni miezi michache imebaki tuingie katika uchaguzi wa serikali ya mitaa na takribani mwaka mmoja kuelejea uchaguzi mkuu wa madiwani,wabunge na rais.
Katita uchaguzi uliopita kulikuwa na ahadi nyingi kutoka kwa wagombea waliochaguliwa na hata walioshindwa. Wewe kama mwananchi unakumbuka ahadi gani ulipewa na je katika ahadi hizo ni ipi imetekelezwa kwa asilimia mia na zipi hazijatekelezwa?.
Nb. Wale ndugu zangu wa kawe mnakaribishwa sana kama reference.