Buswati la Royal Tour

Mkuu watanzania wengi wana PHD ya malalamiko, huwa hawana jema na hawawezi kuliona hata siku moja. Wenyewe wanaita kutanua magoli, hawawezi kukosa hoja za kukosoa hata wakifanyiwa mema mangapi.
 

It was wrong idea kwa Amiri Jeshi Mkuu wa nchi kukamatana mkono na yule mzungu kwa style ile; hata kama sio romantic but kwa culture zetu za kitanzania ,
The movie ni for international standards na sio local standard, hakuna ubaya wowote watu kushikana mikono, kuwa close na hata kukumbatiana na hata kubusiana as long as ni just acting!.
that is a sign of inferiority complexly to the president, Unless kama angekuwa ni husband wake.
Rais Mama Samia was relaxed and very comfortable and felt at ease kwenye hiyo closeness, ni sign kuwa Rais Mama Samia is simple, humble and down-to-earth, na sio dalili yoyote ya inferiority complex. Mama Samia knows very well the women position mbele ya wanaume

Kwa msiomjua vizuri Samia karibuni hapa



P
 
bange waachie wanaume. wanawake mnaweza mung'unya tubako.
 
hao mbwa wala hawawezi kukuelewa.
 
Tunaambiwa waarabu wa loliondo ni miongoni mwa waluochangia

Kumbuka hawa waarabu ndio wanataka wamegewe nchi kule ngororongoro
Na siku sizi wamebatizwa wanaitwa Wamasai wa Loliondo badala ya waarab
 
Rosto arm
 
kitu nyuma ya pazia hakipo sawa, let’s pay attention. It is not just a royal tour.
 
umeandika facts za kutosha mkuu
mwenye kichwa cha kuelewa ashaelewa....
 

Tunakubaliana kwamba Mama aliudanganya Umma wa TZ juu ya kifo cha JPM, tunakubaliana kwamba deep state yetu nayo iliiridhia uongo huo, Na Sasa imekubali kuwa classified information imekuwa wazi kwenye documentary ya Mama ;

Ni ngumu Doc Kama ile iende publicly bila deep state kuipitia; ninaongea kwa hakika 100% . pale IKULU almost 75% ya vijana wa mule ndani ni security state ambao wanaangalia na kushauri na kutoa mapendekezo lakini hawapo katika positon ya Ku implement opinions na recommendation wanazotoa

Kuna mawili;
Wameliacha liende kama lilivyo ikiwa ni sehemu ya kuonesha weakness ya Mama na jinsi anbavyo Tanzania yetu haikupaswa kuwa na Rais wa hivi; na Umma waone kwamba kwa namna yoyote 2025 , tunapaswa kuwa na Rais mpya.

Pili, Mama is being used to manipulate the country, wazungu wanajua sana ku sniff a weak link na kuamua kufanya mambo yao kupitia weak link , wazungu hawakuelewana na JPM sababu JPM alikuwa ni Strong link na alikuwa na ego iliyochanganyikana na ignorance hivyo hawakumtaka na hawakutamani kufanya nae kazi. Wazungu ni capitalist and are always after their interest ... hawafanyi kitu hawana interest nacho , never on earth.

Kitu pekee Mayalla ulicho nacho , wewe ni storyteller , Na unajua ku flow na upepo. Sitegemei kama ungeweza kutamka kuwa JPM is a dictator wakati wa Uhai wake , ila ipo siku utakuja kutamka Mama was a big scam big time .

Time will tell , Captain

Mama anatakiwa ku step down kwa kuudanganya Umma. Au ni ipi adhabu ya mtu mdanganyifu kwa umma?
 
Umeandika mengi mwishoni kabisa umekuja na CHADEMA kama mbadala wa CCM ndio ulipobugi mazima. Rwanda na Israel walifanya kitu kama royal tour na leo hii wapo juu sana kiuchumi.

Kagame alipofanya biashara na Arsenal na kulipa pesa nyingi ili aitangaze nchi yake, wajuaji wa humu nchini walilalamika kama kawaida yao, ni mpaka Messi na Neymar walipokuja kuvaa fulana zenye kukaribisha watu Rwanda ndio watu wakatambua Kagame alilenga wapi kwenda kimataifa zaidi.

Royal Tour katika uchanga na upya wake kila mtu atakuja na maneno yake, atakuja na mchango wake, tuipe muda siku zote muda huwa unaongea.
 
A step down kwa kuamua kusema ukweli?. Huo udanganyifu umeshafanywa na hao hao deep state miaka na miaka. Mkapa alituma watu wa usalama wakaenda kumuua Kombe akiwa amenyoosha mikono juu na hakuna aliyefanywa lolote.

JPM aliuponda ugonjwa ukiwa ni wa moto, aliudhihaki ugonjwa na haukumuacha salama. Wasaidizi wake wote waliangushwa na Covid19 isingewezekana yeye akiepuke kikombe.

Lengo la Royal Tour ni pana sana kuliko namna SSH alivyouweka wazi ugonjwa wa JPM. Kama watanzania ni wachangamfu watafaidika na fursa nyingi zinazofunguka lakini kama n watu sceptical kila kukicha kama ni watu negative basi tutazeeka na kufa na umaskini wetu.
 

Chanzo cha kifo chake ni nini? It is not conspiracy, ipo wazi unless hujaaamua kuujua ukweli
 

Ukiambiwa uthibitishe kwamba MKAPA alituma deep state kumuua Kombe. Utaweza kuthibitisha? Wewe unajua yaliyokuwa nyuma ya Pazia ya Imran Kombe ?

Ikiwa yeye ndio alituambia kuwa JPM alikuwa na pacemaker kwa muda mrefu na ndiyo chanzo cha kifo chake , je anauhalali gani wa ku breach alichopewa na deep state kukitangaza; ?

The whole idea ya Royal Tour ni a Scam na kuna matumizi makubwa ya fedha hayajawekwa wazi , tuna bunge dhaifu; Kama hizo fedha sio kodi zetu , ni fedha za hao wasiojulikana, je expectations yao na matarajio ya ku inject fedha zao ni yap; there is no free lunch, you will have to pay every single coin unayoila . Nini tafsiri yake ?
 
Wamefanya hivyo wakuu wa nchi/ serikali wa Poland, Mexico, Israel na Rwanda kabla yetu.
Hawa nao viongozi wao walikwenda kuweka kambi huko nje kama tunavyofanya sisi?

Nchi hizi nao waliwatumia watu binafsi wasiojulikana kufadhili 'Royal Tour' zao?

Bila shaka kutakuwa kuna tofauti mbalimbali katika yaliyofanyika na ambayo hayakufanyika kufuatana na matakwa ya nchi hizo.

Sisi matakwa yetu, kama kweli ni yetu, yanaonyesha kumdhalilisha kiongozi wa nchi na nchi yenyewe.
 

Nimesema sitetei Royal Tour, naelimisha tu kwamba rais kuwa kwenye Royal Tour ndiyo format ya documentary na hatujaanzisha sisi.

Serikali yetu ina usiri sana, haina uwazi unaotakia. Jambo hili linaweza mwanya wa rushwa. Na hata pale ambapo hapana rushwa, wananchi, kwa kuwa hawana taarifa, wanakuwa na wasiwasi wa rushwa na ubadhirifu.

Kanuni za habari zinasema hakutakiwi kuwepo na ombwe la habari.

Serikali ilitakiwa kutangaza mapema inataka kufanya nini na vipi, mambo ya Royal Tour yalitakiwa kufanywa wazi, ikiwezekana kwa tender process, ilitakiwa pesa zilipotoka ziwekwe wazi, tujue nani katoa fedha gani, kwa minajili gani, watu walitakiwa kushirikishwa awali kabisa.

Rais kuweka kambi nje wala si issue, si issue kabisa kama kunaleta tija rais anaenda kuhojiwa na CNN, MSNBC, CBS, PBS,The Wall St. Journal, The New York Times, The Washington Post etc. Kama ziara ina tija wala hakuna shida rais kukaa nje wiki moja au mbili. After all katika zama hizi za teknolonia rais anaweza kuwa nje lakini akafanya kazi kamanyupo nchini, completely with mikutano over the internet.

Hizi habari za kumdhalilisha kiongozi wa nchi sijazielewa bado, labda tumemfanya rais kuwa kama Mungu fulani hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…