Buswati la Royal Tour

Buswati la Royal Tour

1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo...
Sijui nani alipendekeza, lakini idea ya mkuu wa nchi kushiriki hivi ndiyo format ya documentaries za Royal Tour.

Wamefanya hivyo wakuu wa nchi/ serikali wa Poland, Mexico, Israel na Rwanda kabla yetu.

Kwa hivyo si kitu kilichoanzishwa na Tanzania.

Sitetei Royal Tour, naeleza kuelewesha tu kwamba hii ndiyo format ya documentaries hizi za "Royal Tour" na zipo nyingi kabla hii ya Tanzania.
 
Wabongo kutwa kulalamika

Hebu punguzeni malalamiko

Hii kitu ingefanyika kenya ,wakenya wasingem criticise kiongozi wao!

Taifa hili nenda rudi limekuwa la malalamiko tu

Ova
 
Tufanye lipi ndgu yetu....

Tunakusikiliza
 
Sijui nni alipendekeza, lakini idea ya mkuu wa nchi kushiriki hivi ndiyo format ya doc umentaries za Royal Tour...
Uzuri wa jf kila ukikaribia kukata tamaa na kutaka kukasirika kutokana na malundo ya threads na comments za wajinga wasiojua chochote lakini wenyewe wakijihisi ni mabonge ya wajuaji, basi unakutana na maelezo yaliyonyoka kama hivi.

Yako neutral na yanaonyesha kujua na kufahamu utaratibu. Labda tungetumia muda wetu wakati mwingine kujifunza kwanza kabla ya kukurupuka na kuanza kuongeaongea tu tusiyoyajua kwa kofia ya kuwa na chuki tu dhidi ya huyo samia.

Nina uhakika, km ingelikuwa imechezwa na marehemi jpm hii, wangelikuwa wanakesha kusifia humu kuwa ni bonge la mzalendo.

Watu wameathiriwa akili kwa kiwango cha kutisha sana, kila kitu na kila wakati mtu anazungumzia habari za kuibiwa tu; sijui wamewahi kuibiwa huko majumbani kwao na wake zao ndo maana?!!!

Watu wako mtaani huko wanajitembezea bakuli kimyakimya.....nje ya mada kidogo!
 
Tufanye lipi ndgu yetu....

Tunakusikiliza
🤣🤣🤣🤣🤣

Sidhani km ana lolote la maana la kupendekeza sababu hata alichokiongea hata hajui ameongea nn, amejikuta tu ameshaongea.......chuki na mkumbo!
 
Chuki dhidi ya Mama ni dhahiri.
westbrookwtf.png
 
1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo?

View attachment 2207936

Kuna Wizara ya Utalii ambayo jukumu lake kubwa ni kutangaza vivutio vya nchi, kitendo cha Rais kuingilia hili jukumu, nini tafsir yake ?
a. Rais hana majukumu ya msingi?
b. Nchi imepoteza muelekeo
c. Hatuna ajenda na njia mojawapo ya kuruhusu upigaji wa fedha kwa maana process zima na matumizi yake ya fedha haupo clear

View attachment 2207937

nchi inamatatizo mengi sana yanayohitaji attention ya Rais , nchi kukaa bila Rais takriban wiki 2 nzima inaleta tafsiri gani kwenye Financial Management and security state ya nchi ? Who leads the country behind the scene ?

View attachment 2207938

2. Rais kuwa Free na Kuingililika kirahisi na mwandishi wa habari na kundi lake na kuzunguka nae kama anazunguka na mtu wa kawaida inaleta tafsiri gani kwenye uimara na ulinzi wa nchi yetu ?

Je kulikuwa na ulazima gani rais kuwa Tour Queen ? Mbona tunawatu wenye ushawishi TZ wangeweza kutumika,Rais angeweza kuonekana kwenye Tour kipande kidogo tu ikiwa ni sehemu ya kuweka baraka zake, je hili lililotokea ni tafsiri kuwa nchi imepoteza agenda za msingi ?

Kwa namna ambavyo alikuwa akishikwa na kale kamwandishi kahabari, hii kama taifa inaleta tafsiri gani na heshima kwa taifa letu ?
View attachment 2207939

It was wrong idea kwa aliyependekeza rais kuwa Tour Queen , kuna kitu nyuma ya pazia hakipo sawa, let’s pay attention.... it is not just a royal tour

View attachment 2207940

It was wrong idea kwa Amiri Jeshi Mkuu wa nchi kukamatana mkono na yule mzungu kwa style ile; hata kama sio romantic but kwa culture zetu za kitanzania , that is a sign of inferiority complexly to the president, Unless kama angekuwa ni husband wake ....

Serikali ilishatangaza kifo cha JPM kilisababishwa na matatizo ya moyo aliyoishi nayo takribani kipindi chote cha uhai wake, kitendo cha mzungu ku elaborate ile claim kwamba JPM alikufa na COVID 19, ni matusi kwenye idara ya usalama wa taifa na ni matusi kwenye taasisi ya ikulu... such claim haikutakiwa kuwa ni sehemu ya mazungumzo ya Royal Tour ... its a shame !

Pamoja na misaada yao, mzungu hajawahi kuwa mtu mwema kwa black people

The whole Royal Tour is a big TIME behind the scene na ni jukumu letu watanzania ku pay attention;

View attachment 2207941

something is wrong kwenye huu utawala, something is not okay kwenye huu utawala .
Ondoa kukamatwa mkono na yule mzungu! Lugha ya kibaguzi ikiwa na maana angekuwa mweusi lisingekuwa tatizo, ila hapo tatizo ni rangi ya mtu!
 
Angalia Toyal Tour Rwanda kisha uje kuleta mboyoyo zako. Mbona Kagame ameshiriki Royal Tour Rwanda na hakuna madhara yoyote yalitokea?.

Unalalamika Rais kutokuwepo nchini kwa 2 weeks... je akiugua for two weeks kama binadamu wa kawaida utafanyaje? Acheni hizo insecurities mama anaupiga mwingi.
Na je, tukiwa hatuna Rais utafanyaje! Sikuelewi.
 
Naheshimu mawazo yako but not necessarily. Nothing is wrong, huu sasa ndio mpango wa Mungu kwa nchi yetu!
P.
Ni Tanzania pekee ukiwa madarakani hata kwa kupora ushindi unaitwa ni mpango wa Mungu.
Nahisi mungu wa Tanzania sio Mungu wa Mataifa mengine
 
Ni Tanzania pekee ukiwa madarakani hata kwa kupora ushindi unaitwa ni mpango wa Mungu.
Nahisi mungu wa Tanzania sio Mungu wa Mataifa mengine
Mungu ni chaka la kufichia mambo tu.

Kiuhalisia hayupo.

Ndiyo maana mpaka leo hakuna mtu anayeweza kukuthibitishia uwepo wa huyo Mungu.
 
Ahahaaaa...

Naona kama unakumbusha kifo cha Bob Marley, yaani anakutana na mzungu kama huyu alafu anampa zawadi ya viatu kumbe anampa zawadi ya kifo.


*The gift of death.
 
1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo?

View attachment 2207936

Kuna Wizara ya Utalii ambayo jukumu lake kubwa ni kutangaza vivutio vya nchi, kitendo cha Rais kuingilia hili jukumu, nini tafsir yake ?
a. Rais hana majukumu ya msingi?
b. Nchi imepoteza muelekeo
c. Hatuna ajenda na njia mojawapo ya kuruhusu upigaji wa fedha kwa maana process zima na matumizi yake ya fedha haupo clear

View attachment 2207937

nchi inamatatizo mengi sana yanayohitaji attention ya Rais , nchi kukaa bila Rais takriban wiki 2 nzima inaleta tafsiri gani kwenye Financial Management and security state ya nchi ? Who leads the country behind the scene ?

View attachment 2207938

2. Rais kuwa Free na Kuingililika kirahisi na mwandishi wa habari na kundi lake na kuzunguka nae kama anazunguka na mtu wa kawaida inaleta tafsiri gani kwenye uimara na ulinzi wa nchi yetu ?

Je kulikuwa na ulazima gani rais kuwa Tour Queen ? Mbona tunawatu wenye ushawishi TZ wangeweza kutumika,Rais angeweza kuonekana kwenye Tour kipande kidogo tu ikiwa ni sehemu ya kuweka baraka zake, je hili lililotokea ni tafsiri kuwa nchi imepoteza agenda za msingi ?

Kwa namna ambavyo alikuwa akishikwa na kale kamwandishi kahabari, hii kama taifa inaleta tafsiri gani na heshima kwa taifa letu ?
View attachment 2207939

It was wrong idea kwa aliyependekeza rais kuwa Tour Queen , kuna kitu nyuma ya pazia hakipo sawa, let’s pay attention.... it is not just a royal tour

View attachment 2207940

It was wrong idea kwa Amiri Jeshi Mkuu wa nchi kukamatana mkono na yule mzungu kwa style ile; hata kama sio romantic but kwa culture zetu za kitanzania , that is a sign of inferiority complexly to the president, Unless kama angekuwa ni husband wake ....

Serikali ilishatangaza kifo cha JPM kilisababishwa na matatizo ya moyo aliyoishi nayo takribani kipindi chote cha uhai wake, kitendo cha mzungu ku elaborate ile claim kwamba JPM alikufa na COVID 19, ni matusi kwenye idara ya usalama wa taifa na ni matusi kwenye taasisi ya ikulu... such claim haikutakiwa kuwa ni sehemu ya mazungumzo ya Royal Tour ... its a shame !

Pamoja na misaada yao, mzungu hajawahi kuwa mtu mwema kwa black people

The whole Royal Tour is a big TIME behind the scene na ni jukumu letu watanzania ku pay attention;

View attachment 2207941

something is wrong kwenye huu utawala, something is not okay kwenye huu utawala .
Filamu kama hii inayomuhusisha kiongozi wa nchi kama mshiriki imeshafanyika kwenye nchi kadhaa kama Rwanda (Kagame akihusika),
Israel (Netanyau alihusika).

Sio jambo jipya kufanyika, ni wazo zuri ila tija yake ni ya kusubiri.
 
1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo?
Royal Tour ni idea ya mzungu na ililetwa na mzungu akisaidiwa na wazawa.
Pamoja na misaada yao, mzungu hajawahi kuwa mtu mwema kwa black people
Royal Tour nzima (kuanzia field work, uchakataji na uzinduzi) haijatumia gharama zozote za bajeti yetu wala fedha zetu. Kila kitu kimelipiwa na wenye idea yao.
Usiri mwingi umegubika suala zima la ROYAL TOUR. Yawezekana tumepigwa big time!
Na kama kawaida yetu ROYAL TOUR taratibu itaanza kuingizwa kwenye mambo "matakatifu" yasiyoruhusiwa kuhojiwa.
The whole Royal Tour is a big TIME behind the scene na ni jukumu letu watanzania ku pay attention;
Tunashindwa kupay attention kwenye mambo ya msingi kabisa yenye manufaa kwa watu wetu, sasa haya ya Royal Tour yasiyoeleweka tutafanikiwaje? Je lile jumuiko haramu ndani ya bunge letu tumepay attention kweli? Na huko kwenye serikali za mitaa tumefanya nini kupinga yaliyofanyika? Ukishakubali kupokea au kufanya mambo ya ovyo wengine wanakuona uchochoro wa ovyo ovyo kupitishia mengi ya ovyo ovyo!
Kupay attention ndo kumkumbuka JPM na kutaka awekewe sanamu??
Tulipopinga Wamasai kuondolewa kwa dharura kwenye eneo la Ngorongoro wengi walihisi kama tunaipinga awamu ya 6 na tunakwamisha juhudi za SSH.
Kiini cha ROYAL TOUR yote ni kuwaondoa Wamasai NCA ili matajiri waje wawekeze mle bila bugudha. Tulijieleza vizuri lakini chawa wa ccm hawakutuelewa.
Kama lengo lilikuwa kuutangaza utalii wa Tanzania ni kwa nini hawakuigiza walahu kwenye emerging tourist circuits zinazopata taabu kuchuana na northern circuits?
Hiyo ROYAL TOUR ndo mdhamini wa operesheni ya dharura ya kuwaondoa Wamasai na kuwajengea kule Handeni bila hata kuwashirikisha kupata ridhaa yao.
(Katika historia... Wamasai wengi waliohamishiwa Handeni/Kilindi miaka ya nyuma waliishia kufa kutokana na changamoto ya mbu wa Malaria. Ngorongoro hakuna mbu wa Malaria!)
something is wrong kwenye huu utawala, something is not okay kwenye huu utawala .
Zitakuja kujengwa hoteli za magorofa kwenye hifadhi zetu zikilaza watalii na kutoa fursa nyeti za ajira kwa wageni huku sisi tukiachiwa uchafuzi wa mazingira, kuongoza wageni, kuhudumia chakula na kutandika vitanda kwa ujira wa kitumwa!

Niungane na Freeman A. Mbowe... ccm imeshindwa na haitoweza kututoa kwenye mikwamo mingi iliyotutumbukiza!

Tujifunze kushikamana tunapotetea maslahi ya taifa hasa kipindi hiki ambapo hakuna siasa za upinzani!

Wenyewe wanasema ukitaka kula lazima ukubali kuliwa kidogo... HAPANA! ROYAL TOUR oligarchs wanakula pakubwa sana tena kupitia kwa namba moja, SSH.
 
Back
Top Bottom