Sintarudia tena kupiga busu la kwenye ndimi za mtu nimekoma,haya mambo ya kugeuzana mswaki hapana tena baada ya kumkiss ulimi unawasha namna hii siku ya tatu mfululuzo!
Sintarudia tena kupiga busu la kwenye ndimi za mtu nimekoma,haya mambo ya kugeuzana mswaki hapana tena baada ya kumkiss ulimi unawasha namna hii siku ya tatu mfululuzo!
Sintarudia tena kupiga busu la kwenye ndimi za mtu nimekoma,haya mambo ya kugeuzana mswaki hapana tena baada ya kumkiss ulimi unawasha namna hii siku ya tatu mfululuzo!
Nasikitika kukushauri kuwa busu la ulimi/mdomo na mwenzi wako wa kawaida (mke, mchumba) ni sawa; ila suala la kulambana na kila yule unayekutana naye, ukome!!! Mwanzo mwisho!!!
labda ana ugonjwa, vunja ukimya umshauri mwende hospitali kwani matatizo yanatokea katika sura tofautitofauti sasa utabadili wangapi ikiwa mwenzako denda ndo furaha yake?
Sintarudia tena kupiga busu la kwenye ndimi za mtu nimekoma,haya mambo ya kugeuzana mswaki hapana tena baada ya kumkiss ulimi unawasha namna hii siku ya tatu mfululuzo!
Wewe utakuwa na tabia ya kulamba lamba madenda hovyo!mtu sio mpnz wako wala mkeo unalamba tu,utalamba hata visivyolambwa shauri yako!unafikiri watu wanalambaga tu hovyo,na si kila mtu wa kula nae denda,ukome!
Sintarudia tena kupiga busu la kwenye ndimi za mtu nimekoma,haya mambo ya kugeuzana mswaki hapana tena baada ya kumkiss ulimi unawasha namna hii siku ya tatu mfululuzo!
Sintarudia tena kupiga busu la kwenye ndimi za mtu nimekoma,haya mambo ya kugeuzana mswaki hapana tena baada ya kumkiss ulimi unawasha namna hii siku ya tatu mfululuzo!