una uhakika ulikiss mdomo kweli na sivinginevo
Duh! si busu la kheir hilo.....Sintarudia tena kupiga busu la kwenye ndimi za mtu nimekoma,haya mambo ya kugeuzana mswaki hapana tena baada ya kumkiss ulimi unawasha namna hii siku ya tatu mfululuzo!
Duh! Alikula mapili pili eeh