mtafutaji2016
Senior Member
- Jun 19, 2016
- 105
- 46
Uko mbeya?huku bwana kuna kutoa mazao vijijini na kuleta mjini pesa ipo ila mtaji unone kidogo,biashara ya bar mbeya sikuizi kuna walevi sana kama zilivyo gest nyingi basi na bar zinatakiwa kuwa nyingi,biashara za huduma kama usafirishaji hasa bajaji ndio ipo sokoni sana nayo kwa mbeya mjini hapa,
hapa mjini vyuo vpo vingi unaweza kuwekeza kwenye chakula kuwauzia wanafunzi na wapita njia hapa inahitajika ubunifu tu ili kuwavuta wake kwako,biashara ya nguo pia