Business ideas (Bure)

Nunua eneo, chimba bwawa la kufugia samaki. After time t eneo litapanda thamani na utakua umeuza kitoweo cha kutosha. All the best
 
Hapo unapata zaidi ya ekari 3 na chenji nyingi inabaki unaweza fanya biashara zako hata zikibuma ardhi unayo. Huo ndio ushauri wangu..
 
Njoo Geita huku unanunua dhahabu,tenga million 7.5 nunua kama gram100 hivi kwa bei ya porin utapata yenye asilimia nzuri tu ukiifikisha town (ambapo si mbali) au ukapeleka nairobi tayari kwa kimzigo hicho tu utapiga kama 1.5m hivi na mzigo huo utakusanya hata kwa siku moja kutokana na style yako ya ununuz.. njoo ujaribu mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo Geita huku unanunua dhahabu,tenga million 7.5 nunua kama gram100 hivi kwa bei ya porin utapata yenye asilimia nzuri tu ukiifikisha town (ambapo si mbali) au ukapeleka nairobi tayari kwa kimzigo hicho tu utapiga kama 1.5m hivi na mzigo huo utakusanya hata kwa siku moja kutokana na style yako ya ununuz.. njoo ujaribu mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishawazia sana juu ya hii biashara lakini watu wananikatisha tamaa sana. Kidogo wewe umenipa moyo..!

Hebu nipe procedure na sehemu nitakayopata dhahabu kwa bei ya pori ili nibebe begi langu nije mkwanja ninao. Im willing to do this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawazia sana juu ya hii biashara lakini watu wananikatisha tamaa sana. Kidogo wewe umenipa moyo..!

Hebu nipe procedure na sehemu nitakayopata dhahabu kwa bei ya pori. Ik willing to do this.

Sent using Jamii Forums mobile app
biashara ya dhahabu ni ngum sana kama utajihusisha na uchimbaji wake au kununua mawe yake ili ukaprocess mwenyewe (hapo ndo shughuli ipo,inahitaji kujitoa sana) ..unatakachokifanya wewe unafika kwa mfano geita maeneo ya machimbo panakua na mwalo (sehem yakuoshea mchanga wa dhahabu na kupatikana dhahabu) kisha unazungumza na wahusika wa hapo kwajili yakusubiri wachimbaji wadogo wanaposaga tu unanunua mali yao.. cha muhimu hapo ni kua na mzani wako mdogo tu nadhani unauzwa 200k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kama wewe ni Mkristo (hauna tatizo na suala la Riba)...tafuta kikoba kilichosajiliwa omba kuwa mdhamini wao kwa makubaliano ya kupatiwa 10% au zaidi kwa kila mwezi. Hakikisha unapoingia katika makubaliano hayo unakuwa na mwanasheria wako ili msainishane mkataba na wateja wako. Ni biashara isiyo na stress kabisa. "Ukitaka kufanikiwa fanya biashara na masikini", hii ndio principle ya matajiri wote duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is the good advice nimependa
 
Nilishawazia sana juu ya hii biashara lakini watu wananikatisha tamaa sana. Kidogo wewe umenipa moyo..!

Hebu nipe procedure na sehemu nitakayopata dhahabu kwa bei ya pori ili nibebe begi langu nije mkwanja ninao. Im willing to do this.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, nenda taratibu. Sijui Geita gani anayoizungumzia huyu ndugu mwananchi. Siku hizi hakuna utitiri wa ma konta....!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo Kigamboni, ni za kwangu. Niliwaza kununua viwanja..nikaona nitakua nazika pesa tu
Mweh kununua kiwanja ni kuzika pesa mbombo ngafu na wakati thamani ya kiwanja ina appreciate kila siku maybe useme sija plan kununua kiwanja kwa sasa.
 
!
!
Biashara ngumu sana hiyo. Hata kama utaikopesha kwa 10% bado utatengeneza kama 1.5m tu kwa mwezi kama faida ghafi. Kimsingi ni ngumu kutengeneza faida ya 2m kwa mwezi kwa mtaji wa 15m. Kwa maana hapo unazungumzia 24m kwa mwaka.
Msimtie hofu na uoga, ukijipanga vizuri hata kwa mtaji wa milion 3 unaweza kuingiza zaidi ya milion 2 kwa mwezi. Cha msingi kuumiza kichwa Kupata wazo la biashara na kufanya tafiti kabla ya kuanza hiyo biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimtie hofu na uoga, ukijipanga vizuri hata kwa mtaji wa milion 3 unaweza kuingiza zaidi ya milion 2 kwa mwezi. Cha msingi kuumiza kichwa Kupata wazo la biashara na kufanya tafiti kabla ya kuanza hiyo biashara.

Sent using Jamii Forums mobile app


!
!
Ingekuwa na maana sana kama ungesema ni biashara gani hiyo ambayo kwa 3m unaweza kupata faida ya 2m kwa mwezi na ifanyikaje. Sio hiyo blah blah uliyoandika hapo juu.
 
Wakuu, nataka kuurudisha uzi huu kwenye kupumua tena. Moja wapo ya muelekeo mpya ni kuruhusu maswali na majibu hapa kwenye uzi.

Kama una swali kuhusu biashara yako na unadhani linaweza kujibiwa hapa, bandika hapa na wadau tukishirikiana tutakupa moja au mawili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom