Lodrick Thomas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 1,339
- 2,430
Ulisoma vitabu?Nilipitia post ya Bwana ONTARIO hadi nikafungua demo account ila sielewi kabisa
Anaanza trainings soon, kama uko dsm huzuria!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisoma vitabu?Nilipitia post ya Bwana ONTARIO hadi nikafungua demo account ila sielewi kabisa
Kweli ehDuh, hapo game ngumu kaka
Hapo umempa wazo......hiyo ndio investment bora kabisakaongeze elimu, kama una degree kachukue MBA.
kitendo cha ww kutojua biashara ya kufanya, ni kiashiria kuwa elimu yako inahitaji kuongezwa kidogo.
Tuwe wakweli biashara ya miti ipo ktk orodha ya biashara ya kubett......Kuna jamaa alikuwa na ekari 5 vijana wakapiga moto zote...Pia sasa wameanzisha tabia mbaya sana mtu anakuuzia shamba la miti kumbe ameshakopea BANK.....baadae linakuja kuuuzwa na bank unaanza kulia.......Mimi ushauri wangu ni mmoja tu, nenda Njombe au Iringa nunua kitalu cha miti, panda miti ya kutosha, tulia kama miaka 5 utaweza kuja kuvuna mara nne zaidi ya hiyo pesa, na hapo utakuwa umetengeneza kama faida ya uhakika ya Laki tano tu kila mwezi japokuwa faida yote utakuja kuipata mwishoni kabisa.
Kama hauwezi hiyo, basi nenda kanunue viwanja kwa bei rahisi maeneo ambayo bado hayajaendelezwa baada ya kuusoma mchezo vizuri, ukinunua hivyo viwanja viboreshe kidogo kimiundo mbinu halafu tulia kimya hata kama miaka Mitatu hivi, na hapo utakuja kuviuza kwa bei zaidi ya mara tatu uliyonunua na kuviendelea. (Hapo Faida ni kama Laki mbili hivi kwa mwezi, na tena utaivuna mwishoni).
Hakuna shortcut katika biashara.
Ukitaka makubwa sana na kama huna uzoefu wa biashara tegemea kuupoteza mtaji wote wa biashara ndani ya muda mfupi sana.
Nairobi kwa gram wananunua bei gani mkuu?Pia unaweza kwenda machimbo ya wachimbaji wadogo wadogo Na kununua dhahabu gramu gramu kisha kauze nairobi
DJ sepetu
Kweli kabisa.Riba mbaya......Riba ni chanzo cha ufakiri.......ila wengi hawajui......ndio maana watu huuziwa nyumba zao au ufilisika baada ya kujiingiza ktk mikopo ya ribaMkuu!sijapata wazo zuri la biashara la kukupa,ila nataka nikushauri Kwani ulisema ulikuwa na wazo la kufanya biashara ya kukopesha then urudishiwe kwa riba..ushauri wng ukitaka kufanikiwa fanya biashara ya halali,Kwani kumbuka pesa inayotokana na riba ni haramu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza wewe uko wapi ?Plan ilikua kiwanja na kuanza ujenzi huku nikiendelea kuajiriwa
Hii ningependa kujua kwa kinaPia unaweza kwenda machimbo ya wachimbaji wadogo wadogo Na kununua dhahabu gramu gramu kisha kauze nairobi
DJ sepetu
Hii biashara inalipa kinyoko... Mi naifanya ila na presha nje njePia niliwaza kukopesha watu kwa riba, ila Enzi hizi nafikiri rejesho litakua ugomvi
Mkuu, kama wewe ni Mkristo (hauna tatizo na suala la Riba)...tafuta kikoba kilichosajiliwa omba kuwa mdhamini wao kwa makubaliano ya kupatiwa 10% au zaidi kwa kila mwezi. Hakikisha unapoingia katika makubaliano hayo unakuwa na mwanasheria wako ili msainishane mkataba na wateja wako. Ni biashara isiyo na stress kabisa. "Ukitaka kufanikiwa fanya biashara na masikini", hii ndio principle ya matajiri wote duniani.Pia niliwaza kukopesha watu kwa riba, ila Enzi hizi nafikiri rejesho litakua ugomvi
Anaanza lini mkuu? si unajua hajibu PM
hebu nifafanulie vizuri mkuu sikuijua hii.Mkuu, kama wewe ni Mkristo (hauna tatizo na suala la Riba)...tafuta kikoba kilichosajiliwa omba kuwa mdhamini wao kwa makubaliano ya kupatiwa 10% au zaidi kwa kila mwezi. Hakikisha unapoingia katika makubaliano hayo unakuwa na mwanasheria wako ili msainishane mkataba na wateja wako. Ni biashara isiyo na stress kabisa. "Ukitaka kufanikiwa fanya biashara na masikini", hii ndio principle ya matajiri wote duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisema atatoa thread this week. Ila nadhan next week ataanza!!Anaanza lini mkuu? si unajua hajibu PM