Business ideas (Bure)

Kupata faida sio tatizo tatizo ni mabadiliko yanayotokana na biashara na mazingira tuliyo nayo kwanza kama uko tayari kufanya biashara wekeza hata milioni mbili kwanza kwenye biashara utayo chagua kuifanya utakapo kuwa tayar umeona changamoto zake na ukaweza kuzitatua hapo ongeza mtaji ili uweze kupata faida zaidi
 
Habari wanajamvi, nimebahatika kupata milioni 15, naombeni wazo la biashara itakayonipa atleast 2M per Month. Maoni yote yanakaribishwa.
Asanteni
Mkuu, ukitaka kufanikiwa ki biashara, usiwaze faida kwanza. Tengeneza ndoto kwanza halafu fijiria namna gani utafanikisha ndoto yako. Faida itakuja baada ya juhudi zako na namna unavyoendeleza ndoto yako. Hivyo kama unataka kufanikiwa, acha kufikiria faida kwanza. Acha faida ije kama matokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka ukibeba magunia kwenye fuso linalozidi tani 1, ushuru unakuhusu.
 
Kwa sasa biashara nyingi zimekuwa ngumu kutokana na upatikaji wa fedha pia kodi ambayo pia ni muhimu kuilipa.
Ni vyema ukaangalia biashara itakayokuweka huru na kazi yako,yaan uendelee na ajira yako huku biashara inaendelea.

Mim nakushauri uanzishe biashara ya duka la madawa muhimu ya binadamu.

Mahitaj yake ni lazima uwe na kibali cha umiliki pia tafuta muuzaj ambaye awe na taaluma husika
Kwa ufafanuzi zaidi kuhusu uanzishaj wa duka la dawa mtafute mfamasia anayefanya kazi ktk hospitali ya serikali atakufafanulia zaidi kuhusu kibali,muuzaji,location,common drugs na tathmini ya mtaji.
Au unaweza kuonana na waliokwisha anza hii biashara kitambo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: _ID

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…