Busega: Mbunge Raphael Chegeni anagawa rushwa muda huu

Busega: Mbunge Raphael Chegeni anagawa rushwa muda huu

lukwila

Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
45
Reaction score
60
Mbunge wa jimbo la Busega Mhe. Chegeni yuko anafanya ziara kila kata muda huu,anakutana na wajumbe wa mkutano mkuu na Halmashauri Kuu, huku ajenda yake kubwa anasema wagombea mwaka huu ni wengi hivyo na yeye akumbukwe! Kinachofuata ni kila mjumbe anapata 20,000/= na t shirt juu.

Sasa ametoka kata ya Kiloleli maeneo ya Masanza kona,anaelekea Nyaluhande,Badugu,Shigala na baadaye Nyashimo.

Tunaomba tuungane kupaza sauti juu ya aina hii ya viongozi,na hii ni kwa sababu ameshaona amepoteza mvuto na lengo lake kuu anataka wagombea wenye nguvu wakatwe ili abaki na wale dhaifu katika kinyang'anyiro na kila uchaguzi hupita kwa njia ya figisu!! Hakika

Busega tunaumia sana!
 
Si ukamate

kIongOzI Wa BaaDae
 
Pole mkuu hivi wewe ndo tulio kufungia mlango njee usiingie..takupa Buku nikitoka

Dark Side
 
Sio kwamba anatembelea wananchi wake kujua athari za coronavirus ?
Halafu kwa hali ilivyo akiwapa pesa ya kujikimu ni sadaka sio rushwa hahaha
 
Mbunge wa jimbo la Busega Mhe. Chegeni yuko anafanya ziara kila kata muda huu,anakutana na wajumbe wa mkutano mkuu na Halmashauri Kuu, huku ajenda yake kubwa anasema wagombea mwaka huu ni wengi hivyo na yeye akumbukwe! Kinachofuata ni kila mjumbe anapata 20,000/= na t shirt juu.

Sasa ametoka kata ya Kiloleli maeneo ya Masanza kona,anaelekea Nyaluhande,Badugu,Shigala na baadaye Nyashimo.

Tunaomba tuungane kupaza sauti juu ya aina hii ya viongozi,na hii ni kwa sababu ameshaona amepoteza mvuto na lengo lake kuu anataka wagombea wenye nguvu wakatwe ili abaki na wale dhaifu katika kinyang'anyiro na kila uchaguzi hupita kwa njia ya figisu!! Hakika

Busega tunaumia sana!
Maccm ni mashetani Sasa, Wimbo sio mbowe tena? Mnabaruruana wenyewe mbowe mmemuacha tena?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom