Busara ya Rais Magufuli na Bunge zimeokoa Bodi ya Mikopo

Binti Msichana

Senior Member
Oct 9, 2016
109
247
Bila ya Busara ya Rais wetu na Bunge kutunga sheria ya bodi ya mikopo kwa makato ya 15% kutoka kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bodi hii ingeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wapya kwani ingefilisika kabisa.

Mkae mkijua ili nchi yeyote iendelee lazima suala la elimu lipewe kipaumbele.

Sheria hii iliyoanza kufanya kazi mwezi wa pili 2017 ina umuhimu mkubwa kwa kuiwezesha Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu ikusanye marejesho yake kwa wingi.Hali hii itawezesha Bodi hii iwe na pesa za kutosha hivyo kuwa na uwezo mkubwa kukopesha wanafunzi wengine.

Najua wafanyakazi wengi sheria hii ya makato ya asilimia 15 ya mkopo kutoka katika mishahara yao inawaumiza sana, kwani baadhi yao hushindwa kumudu majukumu yao ya kifamilia na pengine baadhi yao kuona kazi chungu kwa makato haya makali , wakati mwingine mfanyakazi kukosa hata nauli ya kwenda kazini au hata akienda kazini hupiga miyao ya njaa kwa kukosa pesa ya chakula.

Lakini ebu kuweni na uzalendo wa nchi yenu, mnataka Bodi ya mikopo ishindwe kujiendesha ? Hamuoni madhara ya wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo ni makubwa kuliko ya mfanyakazi kukuta sh.90000 kwenye akaunti yake baada ya makato ya 15% ? Hivi Taifa litapata wapi wataalamu mbalimbali ?

Unalalamika kwa kukatwa 15% kwa nini usitafute vyanzo vingine vya mapato kama mshahara unauona mdogo ? Kwani maisha yako hayaendi mpaka utegemee mshahara ?

Nakupongeza rais John Pombe Magufuli kwa kusaini sheria hii ya Bodi ya mikopo ya makato ya 15% ya mishahara ya wanufaika wa mikopo, ila umeniudhi kitu kimoja, ungeshinikiza makato walau yawe 30% ya mishahara ya wafanyakazi.Hii ingejenga uwezo zaidi kwa bodi.

Hongera JPM , Hongera Bunge kwa kwa upatikanaji wa sheria hii.
 
Bila ya Busara ya Rais wetu na Bunge kutunga sheria ya bodi ya mikopo kwa makato ya 15% kutoka kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bodi hii ingeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wapya kwani ingefilisika kabisa.

Mkae mkijua ili nchi yeyote iendelee lazima suala la elimu lipewe kipaumbele.

Sheria hii iliyoanza kufanya kazi mwezi wa pili 2017 ina umuhimu mkubwa kwa kuiwezesha Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu ikusanye marejesho yake kwa wingi.Hali hii itawezesha Bodi hii iwe na pesa za kutosha hivyo kuwa na uwezo mkubwa kukopesha wanafunzi wengine.

Najua wafanyakazi wengi sheria hii ya makato ya asilimia 15 ya mkopo kutoka katika mishahara yao inawaumiza sana, kwani baadhi yao hushindwa kumudu majukumu yao ya kifamilia na pengine baadhi yao kuona kazi chungu kwa makato haya makali , wakati mwingine mfanyakazi kukosa hata nauli ya kwenda kazini au hata akienda kazini hupiga miyao ya njaa kwa kukosa pesa ya chakula.

Lakini ebu kuweni na uzalendo wa nchi yenu, mnataka Bodi ya mikopo ishindwe kujiendesha ? Hamuoni madhara ya wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo ni makubwa kuliko ya mfanyakazi kukuta sh.90000 kwenye akaunti yake baada ya makato ya 15% ? Hivi Taifa litapata wapi wataalamu mbalimbali ?

Unalalamika kwa kukatwa 15% kwa nini usitafute vyanzo vingine vya mapato kama mshahara unauona mdogo ? Kwani maisha yako hayaendi mpaka utegemee mshahara ?

Nakupongeza rais John Pombe Magufuli kwa kusaini sheria hii ya Bodi ya mikopo ya makato ya 15% ya mishahara ya wanufaika wa mikopo, ila umeniudhi kitu kimoja, ungeshinikiza makato walau yawe 30% ya mishahara ya wafanyakazi.Hii ingejenga uwezo zaidi kwa bodi.

Hongera JPM , Hongera Bunge kwa kwa upatikanaji wa sheria hii.
Kwa kuwa leo ni siku yenu semeni yoote mtakayo
 
Hivi nafasi za ukuu wa wilaya bado hazijaisha?.

Eti busara,Rais Magufuli na busara wapi na wapi.

Angalia maamuzi anayoyafanya utaelewa kwanini busara kwa huyo mtu ni kama mashariki na maghribi.

Any way ngoja nijikalie kimya mana kama sheria kandamizi ya bodi ya mikopo ya kukata 15% ya mshahara,na sheria kandamizi ya makosa ya mtandao nayo inatuwinda.
 
Utakuwa una akili ya kushikiwa wewe hadi kuandika pumba kama hizi.

Bila ya Busara ya Rais wetu na Bunge kutunga sheria ya bodi ya mikopo kwa makato ya 15% kutoka kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bodi hii ingeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wapya kwani ingefilisika kabisa.

Mkae mkijua ili nchi yeyote iendelee lazima suala la elimu lipewe kipaumbele.

Sheria hii iliyoanza kufanya kazi mwezi wa pili 2017 ina umuhimu mkubwa kwa kuiwezesha Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu ikusanye marejesho yake kwa wingi.Hali hii itawezesha Bodi hii iwe na pesa za kutosha hivyo kuwa na uwezo mkubwa kukopesha wanafunzi wengine.

Najua wafanyakazi wengi sheria hii ya makato ya asilimia 15 ya mkopo kutoka katika mishahara yao inawaumiza sana, kwani baadhi yao hushindwa kumudu majukumu yao ya kifamilia na pengine baadhi yao kuona kazi chungu kwa makato haya makali , wakati mwingine mfanyakazi kukosa hata nauli ya kwenda kazini au hata akienda kazini hupiga miyao ya njaa kwa kukosa pesa ya chakula.

Lakini ebu kuweni na uzalendo wa nchi yenu, mnataka Bodi ya mikopo ishindwe kujiendesha ? Hamuoni madhara ya wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo ni makubwa kuliko ya mfanyakazi kukuta sh.90000 kwenye akaunti yake baada ya makato ya 15% ? Hivi Taifa litapata wapi wataalamu mbalimbali ?

Unalalamika kwa kukatwa 15% kwa nini usitafute vyanzo vingine vya mapato kama mshahara unauona mdogo ? Kwani maisha yako hayaendi mpaka utegemee mshahara ?

Nakupongeza rais John Pombe Magufuli kwa kusaini sheria hii ya Bodi ya mikopo ya makato ya 15% ya mishahara ya wanufaika wa mikopo, ila umeniudhi kitu kimoja, ungeshinikiza makato walau yawe 30% ya mishahara ya wafanyakazi.Hii ingejenga uwezo zaidi kwa bodi.

Hongera JPM , Hongera Bunge kwa kwa upatikanaji wa sheria hii.
 
Bila ya Busara ya Rais wetu na Bunge kutunga sheria ya bodi ya mikopo kwa makato ya 15% kutoka kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bodi hii ingeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wapya kwani ingefilisika kabisa.

Mkae mkijua ili nchi yeyote iendelee lazima suala la elimu lipewe kipaumbele.

Sheria hii iliyoanza kufanya kazi mwezi wa pili 2017 ina umuhimu mkubwa kwa kuiwezesha Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu ikusanye marejesho yake kwa wingi.Hali hii itawezesha Bodi hii iwe na pesa za kutosha hivyo kuwa na uwezo mkubwa kukopesha wanafunzi wengine.

Najua wafanyakazi wengi sheria hii ya makato ya asilimia 15 ya mkopo kutoka katika mishahara yao inawaumiza sana, kwani baadhi yao hushindwa kumudu majukumu yao ya kifamilia na pengine baadhi yao kuona kazi chungu kwa makato haya makali , wakati mwingine mfanyakazi kukosa hata nauli ya kwenda kazini au hata akienda kazini hupiga miyao ya njaa kwa kukosa pesa ya chakula.

Lakini ebu kuweni na uzalendo wa nchi yenu, mnataka Bodi ya mikopo ishindwe kujiendesha ? Hamuoni madhara ya wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo ni makubwa kuliko ya mfanyakazi kukuta sh.90000 kwenye akaunti yake baada ya makato ya 15% ? Hivi Taifa litapata wapi wataalamu mbalimbali ?

Unalalamika kwa kukatwa 15% kwa nini usitafute vyanzo vingine vya mapato kama mshahara unauona mdogo ? Kwani maisha yako hayaendi mpaka utegemee mshahara ?

Nakupongeza rais John Pombe Magufuli kwa kusaini sheria hii ya Bodi ya mikopo ya makato ya 15% ya mishahara ya wanufaika wa mikopo, ila umeniudhi kitu kimoja, ungeshinikiza makato walau yawe 30% ya mishahara ya wafanyakazi.Hii ingejenga uwezo zaidi kwa bodi.

Hongera JPM , Hongera Bunge kwa kwa upatikanaji wa sheria hii.
Binafsi sikubaliani na maoni yako kwa 100%.

Mfumo wa Bodi hauwezi kufa eti kwakua wanafunzi hawalipi. Hii ni pesa kiduchu sana. Hizi ni kodi zetu za kila siku.


Mosi: mfumo wakukopesha wanafunzi haukuangalia namna Gani elimu wanayoitoa kama INA quality na quantity katika kumpatia ajira ama kujiajiri mwanafunzi anapohitimu li aweze kuja kulipa Deni.
So ni kama wamemuibia huyu mwanafunzi Muda wake na kumpa kisicholika. Kisha wanamdai kwa sheria mpya ya Riba wakati anasoma hawakumuwekea hii Riba.Huu ni wizi na ubeberu na sio uzalendo hata kidogo.


Pili; Kwasababu serikali ilidiriki kusamehe majambazi wa Escrow , Richmond etc ambapo kwa escrow pekee Pesa yake inazidi Madeni yote kuanzia ya nyuma ya bodi ya mikopo.

So kwangu Mimi this is absurd, kutumia sheria Mpya kukandamiza mamilioni ya watanzania, wakati huohuo sheria mpya ya mafisadi inawapa exceptions wale mafisadi walio ifilisi serikali kuishi kwa raha bila kulipa madeni wala kushtakiwa.

Kama Serikali wangekua wazalendo na wanawatakia mema wananchi wake kweli kweli, basi wangefuta madeni ya zamani ya bodi ya mikopo, kwakifupi wasamehe yaliopita si ndwele, kisha waanze na sheria mpya ya Riba kwa wanafunzi wapya na wahakikishe elimu inayotolewa katika vyuo ni ile ya kumfanya mwanafunzi aweze kujiajiri(quality education).
Tusiuziane mbuzi kwenye Gunia.

Only in Tanzania
Mafisadi wanasamehewa na RAIA wema tena wanafunzi maskini, wasio na kazi wanadaiwa na bodi. Tena wanawekewa na Riba iliokua haipo.

Only in Tanzania, kiongozi mwenye cheti Feki anabembelezewa aendelee kushika madaraka na mwananchi mfanyakazinwa kawaida asie na cheti anafukuzwa na kushtakiwa.
 
Dawa ta deni kulipa kama umeahindwa kulupa kwa hiari basi hata kwa nguv utalipa cha watu

Ndo mana benk huwa wanauza Mpaka nyumba za watu wabongo wengi hawapendi kulipa
Mpaka ngumi zipigwe kama ñi mtaani
 
Ndio maaana mna siku yenu maalumu!
Sawa ongeeni leo siku yenu
 
Bila ya Busara ya Rais wetu na Bunge kutunga sheria ya bodi ya mikopo kwa makato ya 15% kutoka kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bodi hii ingeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wapya kwani ingefilisika kabisa.

Mkae mkijua ili nchi yeyote iendelee lazima suala la elimu lipewe kipaumbele.

Sheria hii iliyoanza kufanya kazi mwezi wa pili 2017 ina umuhimu mkubwa kwa kuiwezesha Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu ikusanye marejesho yake kwa wingi.Hali hii itawezesha Bodi hii iwe na pesa za kutosha hivyo kuwa na uwezo mkubwa kukopesha wanafunzi wengine.

Najua wafanyakazi wengi sheria hii ya makato ya asilimia 15 ya mkopo kutoka katika mishahara yao inawaumiza sana, kwani baadhi yao hushindwa kumudu majukumu yao ya kifamilia na pengine baadhi yao kuona kazi chungu kwa makato haya makali , wakati mwingine mfanyakazi kukosa hata nauli ya kwenda kazini au hata akienda kazini hupiga miyao ya njaa kwa kukosa pesa ya chakula.

Lakini ebu kuweni na uzalendo wa nchi yenu, mnataka Bodi ya mikopo ishindwe kujiendesha ? Hamuoni madhara ya wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo ni makubwa kuliko ya mfanyakazi kukuta sh.90000 kwenye akaunti yake baada ya makato ya 15% ? Hivi Taifa litapata wapi wataalamu mbalimbali ?

Unalalamika kwa kukatwa 15% kwa nini usitafute vyanzo vingine vya mapato kama mshahara unauona mdogo ? Kwani maisha yako hayaendi mpaka utegemee mshahara ?

Nakupongeza rais John Pombe Magufuli kwa kusaini sheria hii ya Bodi ya mikopo ya makato ya 15% ya mishahara ya wanufaika wa mikopo, ila umeniudhi kitu kimoja, ungeshinikiza makato walau yawe 30% ya mishahara ya wafanyakazi.Hii ingejenga uwezo zaidi kwa bodi.

Hongera JPM , Hongera Bunge kwa kwa upatikanaji wa sheria hii.
Utakuwa ulizungusha kama Bashite ndio maana unaonea wivu wenzako. Watu wa Kolomije mna taabu kweli.
 
Bila ya Busara ya Rais wetu na Bunge kutunga sheria ya bodi ya mikopo kwa makato ya 15% kutoka kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bodi hii ingeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wapya kwani ingefilisika kabisa.

Mkae mkijua ili nchi yeyote iendelee lazima suala la elimu lipewe kipaumbele.

Sheria hii iliyoanza kufanya kazi mwezi wa pili 2017 ina umuhimu mkubwa kwa kuiwezesha Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu ikusanye marejesho yake kwa wingi.Hali hii itawezesha Bodi hii iwe na pesa za kutosha hivyo kuwa na uwezo mkubwa kukopesha wanafunzi wengine.

Najua wafanyakazi wengi sheria hii ya makato ya asilimia 15 ya mkopo kutoka katika mishahara yao inawaumiza sana, kwani baadhi yao hushindwa kumudu majukumu yao ya kifamilia na pengine baadhi yao kuona kazi chungu kwa makato haya makali , wakati mwingine mfanyakazi kukosa hata nauli ya kwenda kazini au hata akienda kazini hupiga miyao ya njaa kwa kukosa pesa ya chakula.

Lakini ebu kuweni na uzalendo wa nchi yenu, mnataka Bodi ya mikopo ishindwe kujiendesha ? Hamuoni madhara ya wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo ni makubwa kuliko ya mfanyakazi kukuta sh.90000 kwenye akaunti yake baada ya makato ya 15% ? Hivi Taifa litapata wapi wataalamu mbalimbali ?

Unalalamika kwa kukatwa 15% kwa nini usitafute vyanzo vingine vya mapato kama mshahara unauona mdogo ? Kwani maisha yako hayaendi mpaka utegemee mshahara ?

Nakupongeza rais John Pombe Magufuli kwa kusaini sheria hii ya Bodi ya mikopo ya makato ya 15% ya mishahara ya wanufaika wa mikopo, ila umeniudhi kitu kimoja, ungeshinikiza makato walau yawe 30% ya mishahara ya wafanyakazi.Hii ingejenga uwezo zaidi kwa bodi.

Hongera JPM , Hongera Bunge kwa kwa upatikanaji wa sheria hii.
mkuu, unapata wapi viroba?
 
Kama mtu unamshahara na unaongwa kila siku , kiufupi ww mshahara wako unatumia kwendea saloon lzma uandike point hzo
 
Bila ya Busara ya Rais wetu na Bunge kutunga sheria ya bodi ya mikopo kwa makato ya 15% kutoka kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bodi hii ingeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wapya kwani ingefilisika kabisa.

Mkae mkijua ili nchi yeyote iendelee lazima suala la elimu lipewe kipaumbele.

Sheria hii iliyoanza kufanya kazi mwezi wa pili 2017 ina umuhimu mkubwa kwa kuiwezesha Bodi ya Mkopo ya Elimu ya Juu ikusanye marejesho yake kwa wingi.Hali hii itawezesha Bodi hii iwe na pesa za kutosha hivyo kuwa na uwezo mkubwa kukopesha wanafunzi wengine.

Najua wafanyakazi wengi sheria hii ya makato ya asilimia 15 ya mkopo kutoka katika mishahara yao inawaumiza sana, kwani baadhi yao hushindwa kumudu majukumu yao ya kifamilia na pengine baadhi yao kuona kazi chungu kwa makato haya makali , wakati mwingine mfanyakazi kukosa hata nauli ya kwenda kazini au hata akienda kazini hupiga miyao ya njaa kwa kukosa pesa ya chakula.

Lakini ebu kuweni na uzalendo wa nchi yenu, mnataka Bodi ya mikopo ishindwe kujiendesha ? Hamuoni madhara ya wanafunzi wa elimu ya juu kukosa mikopo ni makubwa kuliko ya mfanyakazi kukuta sh.90000 kwenye akaunti yake baada ya makato ya 15% ? Hivi Taifa litapata wapi wataalamu mbalimbali ?

Unalalamika kwa kukatwa 15% kwa nini usitafute vyanzo vingine vya mapato kama mshahara unauona mdogo ? Kwani maisha yako hayaendi mpaka utegemee mshahara ?

Nakupongeza rais John Pombe Magufuli kwa kusaini sheria hii ya Bodi ya mikopo ya makato ya 15% ya mishahara ya wanufaika wa mikopo, ila umeniudhi kitu kimoja, ungeshinikiza makato walau yawe 30% ya mishahara ya wafanyakazi.Hii ingejenga uwezo zaidi kwa bodi.

Hongera JPM , Hongera Bunge kwa kwa upatikanaji wa sheria hii.
Unapenda wangekuwa wanakata 30% ya mshahara 15% yenyewe kubwa
 
Ee Mungu warehemu watu wako maana njaa ishatawala mwili wote sasa wanatafuta akili za ziada nje ya vichwa vyao
 
Its a nonsense thread of 2017 ,you are very crazy, 15% deduction on salary is unacceptable .Students didn't agree such a percentage when applying for a loan.
 
Back
Top Bottom