Siasa za kibaguzi kwa misingi ya ukanda, ukabila, udini, elimu, uchumi n.k havijawahi kuwa moja ya sifa ya kumpata kiongozi wa CCM au jumuiya zake.
Hivyo nawasihi wajumbe wasijekuingia katika mtego huu wa kuwajadili na kuwachagua viongozi kwa kuzingatia mambo hayo.
Sifa ndizo zikatupatie kiongozi. UVCCM imara na yenye sauti ya ushawishi kwa vijana inawezekana kwa kumpata kiongozi anayeifahamu na aliyeiishi kiuongozi.
Kheri Denis James mporipori anatutosha!
Hivyo nawasihi wajumbe wasijekuingia katika mtego huu wa kuwajadili na kuwachagua viongozi kwa kuzingatia mambo hayo.
Sifa ndizo zikatupatie kiongozi. UVCCM imara na yenye sauti ya ushawishi kwa vijana inawezekana kwa kumpata kiongozi anayeifahamu na aliyeiishi kiuongozi.
Kheri Denis James mporipori anatutosha!