Burundi ni shwari ila sehemu nne tu

Burundi ni shwari ila sehemu nne tu

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,209
Burundi sehemu kubwa nchi nzima iko shwari.Matatizo ya fujo yako maeneo manne tu kwenye jiji la bujumbura maeneo hayo ni Musaga, Nyakabiga, Ngagara na Cibitoke kwenye jiji la Bujumbura na kwenyewe kumedhibitiwa ingawa kuna fujo chache chache za hapa na pale.

Kwa wale mlio na shughuli zenu burundi msiogope kuendelea nazo.Na upande wa uhamiaji wa nchi za Afrika mashariki si vizuri kuendelea kupokea wakimbizi sababu maeneo mengi yako shwari hakuna tatizo lolote.
 
Hujasema pia maeneo hayo yanakaliwa na watutsi wengi na ndiyo wanaoandamana wakilindwa na wanajeshi wa serikali wa kabila la tutsi.
Na inasemekana askari hao wa kitutsi baadhi yao wameuawa.

Mlioko huko tuambieni ukweli ni upi!
 
Burundi sehemu kubwa nchi nzima iko shwari.Matatizo ya fujo yako maeneo manne tu kwenye jiji la bujumbura maeneo hayo ni Musaga, Nyakabiga, Ngagara na Cibitoke kwenye jiji la Bujumbura na kwenyewe kumedhibitiwa ingawa kuna fujo chache chache za hapa na pale.

Kwa wale mlio na shughuli zenu burundi msiogope kuendelea nazo.Na upande wa uhamiaji wa nchi za Afrika mashariki si vizuri kuendelea kupokea wakimbizi sababu maeneo mengi yako shwari hakuna tatizo lolote.

Saw a kabisaaa
 

Attachments

  • 1432201315178.jpg
    1432201315178.jpg
    30.2 KB · Views: 62
  • 1432201377179.jpg
    1432201377179.jpg
    65.9 KB · Views: 65
Back
Top Bottom