chash
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 548
- 230
Takwimu karibia zote kwenye mtandao zinakubaliana kuwa Burundi ndio nchi masikini duniani. Pia ni mwanachama wa EAC kwa hiyo ni aibu kwetu wote na pia naamini ukishirikiana na masikini unakuwa masikini.Tuwasaidie hawa jamaa wetu kimawazo jameni. Maoni yangu binafsi ni kwamba hii nchi iungane na iwe nchi moja na kati ya Rwanda, Uganda au Tanzania. mnasemaje wadau wa JF?