Burudani katika Picha.

..Hapo naona JK anadokoa VYUKU.
 
Huyo dingi hapo naona kama vile anamzomea Pinda vile jamani, au ndio anafurahi hadi jino la mwisho?
 
Huyo dingi hapo naona kama vile anamzomea Pinda vile jamani, au ndio anafurahi hadi jino la mwisho?
..Meno yote thelathini na Nje yako mbili. vice versa is true
 
hapo kwa jey key vipiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii?????????????????
au anasubiri kuja kupakuliwa na honey?
au anaenda kuchukua sahani???????????????????
 


Hapa ndipo maana ya kufunga kwa wenzetu inaponitatiza? Hivi hiyo Iftar imegharamiwa na bajeti ya Ikulu? Kama ndio sio kuchanganya dini na siasa huku? Kama ni Zanzibar sawa!
 
Huyo jamaa mwenye shati la pinki si angekwepa picha kidogo.
 
sasa wewee inakutatatiza nini...kwani kuna ubaya ganii ikulu ikaandaa futrarii na kuftarishaa waumini wa dini zote,wee ndo mbanguziiii.unamawao hasiii mkuu


Hapa ndipo maana ya kufunga kwa wenzetu inaponitatiza? Hivi hiyo Iftar imegharamiwa na bajeti ya Ikulu? Kama ndio sio kuchanganya dini na siasa huku? Kama ni Zanzibar sawa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…