Xavi Hernandez Alcantara
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 278
- 280
- Thread starter
- #21
Dah..We jamaa Wiz huyu huyu wa Nigeria au? Kasklize OJUELEGBAHonestly WIZKID sijawahi kumuelewa katika ngoma akiwa peke yake, kama akishirikishwa labda.
Dah..We jamaa Wiz huyu huyu wa Nigeria au? Kasklize OJUELEGBAHonestly WIZKID sijawahi kumuelewa katika ngoma akiwa peke yake, kama akishirikishwa labda.
Kijamaa noma sana...Ana sauti amaizing.Wizkdayo acha uyo mtu aiseh! !
Burna kumlinganisha na wakina Wiz na Obo ni kuwakosea heshima hao jamaa,sema kuchaguliwa grammy na matuzo ya hapa na pale kusifanye muwakosee heshima Star boy na Davido....narudia tena sio vyema kuwalinganisha Wiz,Obo Vs Burna,he is too small to them.Ni juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant.
Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake zinaenda sana.
Je Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa? Au tusubiri.
Asante Mkuu.Burna kumlinganisha na wakina Wiz na Obo ni kuwakosea heshima hao jamaa,sema kuchaguliwa grammy na matuzo ya hapa na pale kusifanye muwakosee heshima Star boy na Davido....narudia tena sio vyema kuwalinganisha Wiz,Obo Vs Burna,he is too small to them.
Kijamaa noma sana...Ana sauti amaizing.
O.B.O je?Anajua mkuu
O.B.O je?
KwaniniHafiki huo moto mkuu
Ni juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant.
Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake zinaenda sana.
Je Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa? Au tusubiri.
Kwahyo amewazidi Kidayo na Obo kwa sasa huku Afrika?Burnaboy ni haki yake coz ukifatilia history ya afrobeat huwezi acha mtaja Fela kuti na burnaboy anamiondoko kama ya jamaa kwakua babu yake alikua katika bend ya jamaa na ukweli ni kua Burna ana represent sana Africa na nyimbo zake kama Collateral demage, Anybody na style yake ni pure african asee hakuna uzungu mwingi so ana deserve na cha zaidi burna boy ni mzuri wa live bend sana kuliko hawa wasanii wengine kama DAVIDI NA WIZKID wanaotegemea Cd sana
Wizkidayo kajaza mara 2 tena Sold Out before 3:days(show) Davido pia aliwahi kujaza. Ngoja tuone kama ana msuli.akajaze 02 arena tumuone km mwamba
Kumuelewa huyo jamaa utulie haswa Ngoma zake Daah. Sikiliza Ya,Dangote,Killing Dem ft Zlatan. n.kSijui niko nje ya muda. Ila sizijui nyimbo za huyo jamaa. Na bado sijamuelewa.
Nilimuona mule but nilimuona wa kawaida sana.Kumuelewa huyo jamaa utulie haswa Ngoma zake Daah. Sikiliza Ya,Dangote,Killing Dem ft Zlatan. n.k
Ndio huyu aliimba kwenye Inama ya Harmonize.
Za Wizkid unazielewa?Nilimuona mule but nilimuona wa kawaida sana.
huyu jamaa simfahamu kabisa kwakweli naonaga yupo kama sholo mwamba tuNi juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant.
Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake zinaenda sana.
Je Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa? Au tusubiri.
Sana namkubali huyo dogo tangu kwenye holla at ur boy, tease me etc.Za Wizkid unazielewa?
Humfahamu au Hujawahi sikiliza ngoma zake??huyu jamaa simfahamu kabisa kwakweli naonaga yupo kama sholo mwamba tu