edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,879
- 9,678
Dini itakusaidia nini katika maisha ikiwa unabagua watuUjamaa...
Waislam wanajua kuwa serikali inajua.
Waislam tegemeo letu ni kuwaelimisha wananchi wote wajue tatizo linaloikabili nchi yetu.
Serikali ndiyo ya kuwapa Waislam majibu si yule ambae ananufaika na dhulma iliyopo.
Mradi wewe ushatufahamu sisi tumetosheka.
''Hawashauli,'' ''Kufikili,'' ''Ikwilili,'' ''busala...''