nipo Burhani Charitable Health Centre, Wagonjwa ni wengi lakini kuna jamaa wanaendelea na Ujenzi (marekebisho ndani ya hospitali).
Wanatindua zege, wanapiga kelele vibaya mno, nimewaambia wahudumu hapa waongee nao ili waendelee baada ya masaa ya kazi wamegoma, kwa maelezo kwamba nikaongee nao mwenyewe, nimeenda kuongea na mafundi wamegoma kwa maelezo kwamba wao wanakwenda na muda, hivi napoandika msg hii kuna kelele sana humu ndani, kuna vumbi kali sana na wagonjwa ni wengi kwenye foleni wakisubiri kuingia LABORATORY.
Wanatindua zege, wanapiga kelele vibaya mno, nimewaambia wahudumu hapa waongee nao ili waendelee baada ya masaa ya kazi wamegoma, kwa maelezo kwamba nikaongee nao mwenyewe, nimeenda kuongea na mafundi wamegoma kwa maelezo kwamba wao wanakwenda na muda, hivi napoandika msg hii kuna kelele sana humu ndani, kuna vumbi kali sana na wagonjwa ni wengi kwenye foleni wakisubiri kuingia LABORATORY.