Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Naibu Waziri Fedha akijibu swali Bungeni leo,alisifia mafanikio ya Ubinafsishaji.Mh. Zito akauliza swali la nyongeza na kusema anasikitishwa na Serikali kusifia mafanikio ya ubinafsishaji na kutoa mifano kuwa 1980s, viwanda vya korosho vilikuwa 12 leo 1 tu chafanya kazi.
Akaongeza Mwatex, Mbeyatex, Sunguratex viko wapi leo. Mkulo kajibu ati swali la Zito ni jipya (kwa kuwa kataja Textile Industry)! Spika Makinda akamgeuzia kibao Mkulo kuwa swali la Zito ni valid lakini hamshinikiza atoe jibu!
Kanuni ko vipi?
Akaongeza Mwatex, Mbeyatex, Sunguratex viko wapi leo. Mkulo kajibu ati swali la Zito ni jipya (kwa kuwa kataja Textile Industry)! Spika Makinda akamgeuzia kibao Mkulo kuwa swali la Zito ni valid lakini hamshinikiza atoe jibu!
Kanuni ko vipi?