Mwananchi wa Kawaida
Member
- Feb 9, 2012
- 65
- 15
Kweli nchi yetu balaa maana kwa muda zaidi ya dk 5 hakuna umeme na wabunge wanatumia simu na maneno machafu yanatolewa tena na wabunge machizi
aibuuu
Mh ndugai kaahirisha bunge mpaka kesho asubuhi baada ya umeme kukatika.
Jamani mjengoni hata stand by genereta hamna?
Taa zimezima, halafu kilichoniudhi ni uropokaji wa baadhi ya wabunge, huku wakipayuka kwa kejeli kuikashifu CDM.