Bungeni Umeme umekatika na limeahirishwa

Feb 9, 2012
65
15
Kweli nchi yetu balaa maana kwa muda zaidi ya dk 5 hakuna umeme na wabunge wanatumia simu na maneno machafu yanatolewa tena na wabunge machizi
 
Mh ndugai kaahirisha bunge mpaka kesho asubuhi baada ya umeme kukatika.

Jamani mjengoni hata stand by genereta hamna?
 
Bunge limeahirishwa kwa umeme kukatika. Hii si mara ya kwanza,halafu wabunge wa CCM wanapiga kelele eti Chadema wanahujumu mpaka Bungeni kwa kuzima umeme. Hivi Tanesco inaendeshwa na Chadema?
 
kIKWETE KAENDA UINGLEZA KUOMBA MSAADA WA KUIBUST TANNESCO
 
Taa zimezima, halafu kilichoniudhi ni uropokaji wa baadhi ya wabunge, huku wakipayuka kwa kejeli kuikashifu CDM.
 
Taa zimezima, halafu kilichoniudhi ni uropokaji wa baadhi ya wabunge, huku wakipayuka kwa kejeli kuikashifu CDM.
 
Mh ndugai kaahirisha bunge mpaka kesho asubuhi baada ya umeme kukatika.

Jamani mjengoni hata stand by genereta hamna?

Mwongozo wa muheshimiwa spika..muongozo naibu wa spika tafadhari,ame2mia kanuni ipi kuvunja bunge...isije ikawa ni janja ya magamba ,lol shame on the bunges
 
Taa zimezima, halafu kilichoniudhi ni uropokaji wa baadhi ya wabunge, huku wakipayuka kwa kejeli kuikashifu CDM.

hivi CDM ndo wenye jukumu la uwepo wa umeme??
Au ndo CCM wako kwenye maandalizi ya kuwa wapinzani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom