rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 462
jamaa wanauza wanyama kwa waarabu. sasa wanyama wetu wakiisha waarabu si watakuja kutunaniliu?
Wang'wa baba ni kweli kabisa. Juzi nilikuwa naangalia BBC kuna tangazo la UAE wanaonyesha sasa wana mbuga artificial (manmade) za wanyama. Na bila shaka ni hao waliotoka kwetu. Kwahiyo watalii watapungua kuja kwetu na kwenda huko Dubai kujionea wanyama. Si mnafahamu pia kuwa huko Loliondo kuna ka-nchi kanaitwa UAE? Huyu waziri hafai kabisa aachie ngazi na kwetu usukumani hatumtaki aende kwa hao aliowauzia wanyama wetu.