Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Wizara yake inatoa vibali vya uwindaji kinyume cha sheria.
Maige anailalamikia Kamati kuwa haikumshirikisha yeye kama Waziri.
Maige anadai Kamati 'inadaiwa' kuhongwa.
Kamati inadai Wizara imejaa watu wenye viburi sana na dharau, waliinyima ushirikiano Kamati wakati wa utendaji.
Kamati inaomba Serikali iwawajibishe wanaoshiriki ufisadi Wizarani unaoliingiza taifa hasara.
Maige anailalamikia Kamati kuwa haikumshirikisha yeye kama Waziri.
Maige anadai Kamati 'inadaiwa' kuhongwa.
Kamati inadai Wizara imejaa watu wenye viburi sana na dharau, waliinyima ushirikiano Kamati wakati wa utendaji.
Kamati inaomba Serikali iwawajibishe wanaoshiriki ufisadi Wizarani unaoliingiza taifa hasara.