mwana wa mtu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 220
- 53
Hawakushirikishwa kasababu ya nature yao, wangefanya uchakachuaji!hawajui kuwa Lowassa nae alilia hhivyohivyo wakati inasomwa wakati wa Richmond..siku zote pemye ukweli na uadilifu bongo ukiachwa mwanya tu panachakachuliwa (eg ukiacha ripoti izagae zagae). Wawaulize kina Mwakyembe wakati wanafanya uchunguzi wa richmond, ilibidi kila computer inayotumia kuandikia taarifa za siku inaharibiwa (wametumia computer kibao) na data kutunzwa kwa siri kubwa!Ukisikiliza mawaziri wengi wanaonekana kujitetea kwamba hawakushirikiwa kikamilifu wakati kamati zinafanya uchunguzi! Lakini msingi wa yote haya (kwa maoni yangu) ni kwamba mawaziri wengi hawajui au hawataki kujua nini kinaendelea kwenye wizara zao zaidi ya kusimamia 'interest zao'.
Kwangu mimi, kitendo tu cha waziri kutojua madudu ya wizara yake kinatosha kabisa kumuondoa huyo waziri. Period.