Tai Ngwilizi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 781
- 211
anasema watarabati na kufanyia tathmini maghala pesa hizooo, wakati malalamiko yapo kwenye kuchelewa kusafirisha mazao kutoka kwenye chakula kwenda kwenye njaa. mazao yanaoza kwenye maghala....
kama kikwete anavyouzwa na maige anauzwa hivyohivyo.kumbe huyu waziri aliuzwa na watu wa wizara yake
kumbe huyu waziri aliuzwa na watu wa wizara yake
kama kikwete anavyouzwa na maige anauzwa hivyohivyo.
Mulika mwizi!!!