Yaani Wabunge wote mmeshindwa kutafsiri maana ya Lease agreement ya KADCO kuisha November 2023 ilhali Mkataba wa Uendeshaji umeisha June 2023?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,131
Jana ni mara ya pili kumekuwa na Mjadala mkali kuhusu nani anamiliki KADCO na nani anamiliki Uwanja wa KIA.

AG Feleshi akasema Mkataba wa Uendeshaji wa KIA kwa KADCO umeisha June 2023.

Feleshi akasema zaidi kuwa Lease agreement ya KADCO itaisha November 2023.

Wabunge wakahoji kwanini KADCO bado anaoperate wakati Mkataba umeshaisha?

Prof. Mbarawa akasema wataleta mswada bungeni hivi karibuni Ili Viwanja vyote Vya Ndege vimilikiwe na TAA

Wabunge wakahoji, nani anamiliki Uwanja wa KIA?

Wadau naomba mjibu hilo swali la mwisho la Wabunge.

Nawatakia Dominica Njema 😄
 
Jana ni mara ya pili kumekuwa na Mjadala mkali kuhusu nani anamiliki KADCO na nani anamiliki Uwanja wa KIA.

AG Feleshi akasema Mkataba wa Uendeshaji wa KIA kwa KADCO umeisha June 2023.

Feleshi akasema zaidi kuwa Lease agreement ya KADCO itaisha November 2023.

Wabunge wakahoji kwanini KADCO bado anaoperate wakati Mkataba umeshaisha?

Prof. Mbarawa akasema wataleta mswada bungeni hivi karibuni Ili Viwanja vyote Vya Ndege vimilikiwe na TAA

Wabunge wakahoji, nani anamiliki Uwanja wa KIA?

Wadau naomba mjibu hilo swali la mwisho la Wabunge.

Nawatakia Dominica Njema
Wewe na ndugu yako ndo mlioasisi kuwepo Kwa Bunge hili la Mbumbumbu ili muongezewe miaka ya kukaa madarakani.
Unapotuhusisha Sisi kuwarekebisha hao wachumia tumbo mliowaleta Kwa faida binafsi mnakuwa hamtutendei haki.
 
Kadco ilokua kampuni ya uendeshaji uwanja wa KIA.

Kadco ilikua ya watu binafsi pamoja na serikali wakimiliki hisa za hiyo kampuni.

Serikali ikaamua kununua wale wanahisa wengine wa kadco ili iwe ndio mmiliki wa kadco 100%.

Serikali ikawalipa hao jamaa wengine wa kadco malipo stahiki na wakapokea wakaweka mfukoni.

Baada ya hapo maana yake hakukua tena na kadco ama kadco ilibadilika na kua ni mali ya serikali 100% na hivyo umiliki wa uwanja wa KIA ukarudi serikalini 100%.

Ajabu ni kwamba hadi sasa hao wana hisa wengine bado wanakula mgawanyo wa mapato ya KIA wakati sio wanahisa tena na walishalipwa haki zao zote.

Kwa maana nyingine hao jamaa wanaiibia serikali na serikali ipo imekaa inaangalia pesa zinaliwa mchana kweupe jua limewaka.

Hii nchi ina vituko.
 
Kadco ilokua kampuni ya uendeshaji uwanja wa KIA.

Kadco ilikua ya watu binafsi pamoja na serikali wakimiliki hisa za hiyo kampuni.

Serikali ikaamua kununua wale wanahisa wengine wa kadco ili iwe ndio mmiliki wa kadco 100%.

Serikali ikawalipa hao jamaa wengine wa kadco malipo stahiki na wakapokea wakaweka mfukoni.

Baada ya hapo maana yake hakukua tena na kadco ama kadco ilibadilika na kua ni mali ya serikali 100% na hivyo umiliki wa uwanja wa KIA ukarudi serikalini 100%.

Ajabu ni kwamba hadi sasa hao wana hisa wengine bado wanakula mgawanyo wa mapato ya KIA wakati sio wanahisa tena na walishalipwa haki zao zote.

Kwa maana nyingine hao jamaa wanaiibia serikali na serikali ipo imekaa inaangalia pesa zinaliwa mchana kweupe jua limewaka.

Hii nchi ina vituko.
Ahsante sana kwa ufafanuzi Mzuri

Sasa Lease agreement ni ya Serikali?
 
Mashirika yote ya umma yanapaswa kumilikiwa na Umma kwa asilimia 💯 kupitia msajili wa hazina. Kwa maoni yangu Serikali kwenye haya mashirika na makampuni ya Umma inatakiwa kuwa na hisa chache kiasi 20% wakati mwekezaji wa kimkakati 30% Umma wa watanzania na makampuni binafsi umiliki wake uwe 50%.
Mgawanyo wa namna hiyo hapo juu utaondoa tabia mbaya ya viongozi na wabadhirifu wachache kujimilikisha hisa za makampuni ya Umma yaliyogeuzwa kuwa mali ya Serikali.
 
Jana ni mara ya pili kumekuwa na Mjadala mkali kuhusu nani anamiliki KADCO na nani anamiliki Uwanja wa KIA.

AG Feleshi akasema Mkataba wa Uendeshaji wa KIA kwa KADCO umeisha June 2023.

Feleshi akasema zaidi kuwa Lease agreement ya KADCO itaisha November 2023.

Wabunge wakahoji kwanini KADCO bado anaoperate wakati Mkataba umeshaisha?

Prof. Mbarawa akasema wataleta mswada bungeni hivi karibuni Ili Viwanja vyote Vya Ndege vimilikiwe na TAA

Wabunge wakahoji, nani anamiliki Uwanja wa KIA?

Wadau naomba mjibu hilo swali la mwisho la Wabunge.

Nawatakia Dominica Njema 😄
Spot on observation, niliona AG akaishiwa nguvu kabisa.
 
Kadco ilokua kampuni ya uendeshaji uwanja wa KIA.

Kadco ilikua ya watu binafsi pamoja na serikali wakimiliki hisa za hiyo kampuni.

Serikali ikaamua kununua wale wanahisa wengine wa kadco ili iwe ndio mmiliki wa kadco 100%.

Serikali ikawalipa hao jamaa wengine wa kadco malipo stahiki na wakapokea wakaweka mfukoni.

Baada ya hapo maana yake hakukua tena na kadco ama kadco ilibadilika na kua ni mali ya serikali 100% na hivyo umiliki wa uwanja wa KIA ukarudi serikalini 100%.

Ajabu ni kwamba hadi sasa hao wana hisa wengine bado wanakula mgawanyo wa mapato ya KIA wakati sio wanahisa tena na walishalipwa haki zao zote.

Kwa maana nyingine hao jamaa wanaiibia serikali na serikali ipo imekaa inaangalia pesa zinaliwa mchana kweupe jua limewaka.

Hii nchi ina vituko.
Duh! Nilikuwa sijajua nini kinaendelea kuhusu hii kampuni.
 
Jana ni mara ya pili kumekuwa na Mjadala mkali kuhusu nani anamiliki KADCO na nani anamiliki Uwanja wa KIA.

AG Feleshi akasema Mkataba wa Uendeshaji wa KIA kwa KADCO umeisha June 2023.

Feleshi akasema zaidi kuwa Lease agreement ya KADCO itaisha November 2023.

Wabunge wakahoji kwanini KADCO bado anaoperate wakati Mkataba umeshaisha?

Prof. Mbarawa akasema wataleta mswada bungeni hivi karibuni Ili Viwanja vyote Vya Ndege vimilikiwe na TAA

Wabunge wakahoji, nani anamiliki Uwanja wa KIA?

Wadau naomba mjibu hilo swali la mwisho la Wabunge.

Nawatakia Dominica Njema
Kinana atakuwa anamjua mmiliki. Kuna viwanja vingine zaidi 20 kule selous
 
Kadco ilokua kampuni ya uendeshaji uwanja wa KIA.

Kadco ilikua ya watu binafsi pamoja na serikali wakimiliki hisa za hiyo kampuni.

Serikali ikaamua kununua wale wanahisa wengine wa kadco ili iwe ndio mmiliki wa kadco 100%.

Serikali ikawalipa hao jamaa wengine wa kadco malipo stahiki na wakapokea wakaweka mfukoni.

Baada ya hapo maana yake hakukua tena na kadco ama kadco ilibadilika na kua ni mali ya serikali 100% na hivyo umiliki wa uwanja wa KIA ukarudi serikalini 100%.

Ajabu ni kwamba hadi sasa hao wana hisa wengine bado wanakula mgawanyo wa mapato ya KIA wakati sio wanahisa tena na walishalipwa haki zao zote.

Kwa maana nyingine hao jamaa wanaiibia serikali na serikali ipo imekaa inaangalia pesa zinaliwa mchana kweupe jua limewaka.

Hii nchi ina vituko.
Mhhh! Kazi ipo !!
 
Ahsante sana kwa ufafanuzi Mzuri

Sasa Lease agreement ni ya Serikali?
Kesi ya Kadco ni kama kesi ya Pride Tanzania.

Pride ilikua mali ya serikali kwa 100%. Serikali ndio ilitoa mtaji wa kuanzisha Pride kwa 100%.

Vitu vya kushangaza baadae Pride ikaja kuonekana ni mali ya Iddi Simba kwamba ni yake kwa 100% na serikali ikaridhika kabisa Iddi Simba kuimba kampuni ya serikali mchana kweupe jua limewaka. Same ilikua kwa benki ya wanawake na twiga bancorp.

Hii pia inanikumbusha kesi ya Songas.

Songas ilianzishwa kwa mtaji wa dollar milioni 325 hivi. Kwenye huu mtaji Serikali ya Tanzania ilichangia Dollar Milion 240+ na wawekezaji ama muwekezaji mwingine wakatoa tofauti yake, yaani kama Dollar Milion 80+ hivi.

Hizo Dollar Milion 240 za serikali ya Tanzania zilikua ni mkopo. Serikali ilikopa ili kuanzisha Songas.

Cha ajabu na cha kushangaza kwenye Songas Tanzania ndio minority shareholder na hiyo jamaa ama hao jamaa wengine ndio majority shareholder.

Vituko hii nchi haviwezi kuisha.

Tusije kushangaa miaka 20 ijayo DP World kuja kutuambia Bandari ni mali yake binafsi na anaimiliki ama aliinunua na mkitaka na ushahidi atawapa mikataba tuliyosaini kumuuzia Bandari. Muda ni mwalimu mkuu.
 
Kesi ya Kadco ni kama kesi ya Pride Tanzania.

Pride ilikua mali ya serikali kwa 100%. Serikali ndio ilitoa mtaji wa kuanzisha Pride kwa 100%.

Vitu vya kushangaza baadae Pride ikaja kuonekana ni mali ya Iddi Simba kwamba ni yake kwa 100% na serikali ikaridhika kabisa Iddi Simba kuimba kampuni ya serikali mchana kweupe jua limewaka. Same ilikua kwa benki ya wanawake na twiga bancorp.

Hii pia inanikumbusha kesi ya Songas.

Somgas ilianzishwa kwa mtaji wa dollar milioni 325 hivi. Kwenye huu mtaji Serikali ya Tanzania ilichangia Dollar Milion 240+ na wawekezaji ama muwekezaji mwingine wakatoa tofauti yake, yaanikama Dollar Milion 80+ hivi.

Hizo Dollar Milion 240 za serikali ya Tanzania zilikua ni mkopo.

Cha ajabu na cha kushangaza kwenye Songas Tanzania ndio minority shareholder na hiyo jamaa ama hao jamaa wengine ndio majority shareholder.

Vituko hii nchi haviwezi kuisha.

Tusije kushangaa miaka 20 ijayo DP World kuja kutuambia Bandari ni mali yake binafsi na anaimiliki ama aliinunua na mkitaka na ushahidi atawapa mikataba tuliyosaini kumuuzia Bandari. Muda ni mwalimu mkuu.
Dah,sio mchezo aise
 
Back
Top Bottom