Bungeni: Mdee aishukia serikali!

dah yaani wewe mburula kweli. mbunge hujamuona siku nyingi halafu unamshabikia. pole sana na mbunge wako kilaza huyo. 2015 ataipata fresh
Amechangia vzr kwa kuionesha kama taifa tunaweza kukusanya kodi na kuongeza mapato kwa taifa!kazi yako ya buku sabasaba tumeiona!
 

Toka lini ushahidi ukapelekwa ikulu!,hapo yaonyesha uroho wa madaraka na kutokuwa na utawala bora.
 
Juzi ulimsifia Msigwa leo Mdee, inaonekana Chadema unakikubali.
ila mambo madogo madogo ndio yanakufanya ufanye tofauti na moyo wako unavyoamini.!!

mambo gani hayo mkuu?tiririkaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Afu kama huyu anaitwa zambi cjui dhambi anaboa

Huyu Zambi ndio yule aliyelipuliwa na Kafulila bungeni kuwa alimfumania anaomba rushwa kutoka kwa mtendaji mmoja wa halmashauri; chama cha magamba na uozo wake wote huo wamempa Zambi kuwa mwenyekiti wa magamba mkoa wa Mbeya!!! Jamaa anajitahidi kusema sana bungeni kama njia ya kujitakasa na rushwa aliobambwa nayo kutoka kwenye halmashauri!!!
 
Bado wewe idawa, utaikubali chadema tu kwani kwani huwezi kubakia na roho ya paka wakati unaona jamii inaangamia kwa sbb ya watu wachache, iko siku nafsi itakusuta!

ha!ha! mkuu naona hujanisoma vizuri.!!!
 

Ndugu ulichokiwasilisha ni sawa kwa sababu ndivyo alivyosema Mh. Mdee lakini ujumbe uliouwasilisha hautakuwa mbali sana na wewe kwani kama sikosei michango yako mingi hapa JF huwa imeegamia upande unaolaumiwa na kupewa vidonge na Mh. Mdee, kama umehamia upande wa wapigania ukombozi tunakukaribisha KARIBU SANA
 
Huyu Mdee nimemsifu kwa kukanusha bila ya kurusha tuhuma zozote kwa chama ama mtu yeyote yule. Amekomaa kisiasa!

Hivi leo umekula nini mbona umeonyesha kuwa na akili nyingi kama shetani? Leo, kwa mara ya kwanza nakupa LIKE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 


Katibu uenezi, inakuwaje kama chadema hatuna imani na hiyo ikulu yenu? Tupeleke wapi?
 
Tuliwàmbia bunge bila chadema alinogi mkabisha sasa mmeona wenyewe da mdee alivyofunguka yâan nàamin mdee peke yake ni sawa na wabunge wote wa kike wa ccm
 
Ni upuuzi kulaani eti upotoshaji wakati ushahidi mnao mmeukalia. Hata mimi nasema CDM mmehusika otherwise mlete huo ushahidi mnaodai mnao.
 
big up dada angu mdee. mungu akutie moyo wa ujasiri jina lako litaandikwa ktk kitabu cha wana mapinduzi wa kweli
 
chadema ndio mkomboz wengine wababaishaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…