Bungeni: Mdee aishukia serikali!

Bungeni: Mdee aishukia serikali!

HAMY-D

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2011
Posts
7,146
Reaction score
3,829
Akiwa ana changia bungeni, mhe Halima Mdee ambae ni mbunge wa jimbo la kawe, ameipa za uso serikali kwa kuiambia amelaani vikali upotoshaji uliofanywa bungeni kuhusu mlipuko uliofanywa Arusha kuwa ni CHADEMA ndio walio husika.

Aidha, mhe Halima Mdee amesema, CHADEMA watakuwa ni wendawazimu wa kujilipua wenyewe kwa lengo la kujitafutia umaarufu au kutaka huruma kwa wananchi, wakati tayari nchi imewakubali, na mziki wa CHADEMA watauona rasmi 2015.
 
kawaambia wabunge wanaipa serikali vyanzo vipya vya mapato, serikali haitaki kuvichukua, kwa kushindwa huko basi serikali ikae pembeni iwapishe wengine waendeshe serikali.
 
Mdee we waache wajifurahishe na mapolis wao . Hata watu wakiikataa CHADEMA hawawezi chagua ccm tena. Dhambi zao zitawawia nzito mpaka washindwe kuzibeba
 
Mdee kapasua bila ganzi mpaka nyuso za mawaziri na wabunge wa CCM bila kusahau Spika zilionyesha kusawajika. Hata mchango wake juu ya mswada wa sheria kawachana bila huruma,na ukiangalia mchango wake kwa kweli ndiyo mawazo wa watanzania walio wengi sio wabunge wa CCM wanaochangia mawazo ya viongozi wao kama ma zuzu.
 
Huyu Mdee nimemsifu kwa kukanusha bila ya kurusha tuhuma zozote kwa chama ama mtu yeyote yule. Amekomaa kisiasa!

Juzi ulimsifia Msigwa leo Mdee, inaonekana Chadema unakikubali.
ila mambo madogo madogo ndio yanakufanya ufanye tofauti na moyo wako unavyoamini.!!
 
Akiwa ana changia bungeni, mhe Halima Mdee ambae ni mbunge wa jimbo la kawe, ameipa za uso serikali kwa kuiambia amelaani vikali upotoshaji uliofanywa bungeni kuhusu mlipuko uliofanywa Arusha kuwa ni CHADEMA ndio walio husika.
Aidha, mhe Halima Mdee amesema, CHADEMA watakuwa ni wendawazimu wa kujilipua wenyewe kwa lengo la kujitafutia umaarufu au kutaka huruma kwa wananchi, wakati tayari nchi imewakubali, na mziki wa CHADEMA watauona rasmi 2015.

Halima Mdee ni miongoni mwa wabunge mahiri wa CDM wanaowafanya watanzania zaidi na zaidi wanaendelea kuikimbilia CDM kama chaguo lao la kwanza kwa Tanzania waitakayo. Huyu mbunge ni full ma-confidence,
 
Mdee mi namkubali sana anaongeaga fact tupu na haogopi magamba
 
watu kama hawa ndio wanaohitajika katika ujenzi wa taifa changa kama Tanzania.
 
Nimefuatilia mchango wa mdee kwa umakini sana..nakiri huyu dada yuko fit sana,baada ya mchango wake sura ya madam spika ilionyesha jinsi alivyo kwazika.mawazi walikuwa wakinong'ona.huku lukuvi na werema wakiwa wanamsikiliza kwa makini..hongengera mdee you made ma day madam.
 
Back
Top Bottom