Nyie mmelipwa kumsafishaee!
Katika zoezi linaloendelea hivi sasa,la kupiga kura ya kupitisha Bajeti,Mh.Edward Lowasa ameitwa mtoro na wabunge wenzake baada ya jina lake kuitwa na kuwa kimya,kuna mbunge akaitikia mtoro.
.....................Tafadhali naomba unipe listi ya majina mafisadi niwajueMafisadi wote hawapo,sema kwa lowasa wameropoka tu mtoro