mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
body guard hadi chumbani? lah hasha
poa,
ni hasira2, sor.
Ila masaburi cjaelewa
nimekusomaLile neno ulilolitumia mwanzo kwa hapa jamvini linatumika hilo hapo...lol
Yeye kama mbunge anaishia wapi? singida au london?
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.
nimekusoma
Mbunge huyu alipokuwa anachangia hoja kuhusiana na sheria juu ya haki za wasanii na kazi zao. Alsema maeneo aliyokuwa anaish marehemu kanumba ni uswahilin hatari kwa Jk pamoja na Pm na wengneo.
Aidha aliongeza kuwa msanii huyo alpaswa kua na bodgad wa kumlnda.