Bungeni: Kigwangalla amfundisha Mbowe hekima

Bungeni: Kigwangalla amfundisha Mbowe hekima

Hehehe Hawa jamaa inachekesha kuna mwingine ni naibu waziri ametajwa kwenye baed pioneers ya fb kuwa anatumia jina si lake kwa kugushi vyeti na sijasikia akikanusha. Hatari kwelikweli.
r Tanzania ni Muungano wa nchi za Pemba na Zimbabwe mnamo mwaka 11964
 
Kigwangwala ni janga la kitaifa. Hata sikuelewa alichoongea cha maana ni nini. Yeye akiona majembe kama Mbatia, Seru----, na Mpina wanatangaza kutounga bajeti mkono naye anadhani akijiropokea hivyo bila hoja atakuwa maarufu.
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"
Hoja nu za kijinga sana, Dr. K ni msomi mzuri lakini ni Mbunge wa Nzega, labda ni mshamba asiyejua kuna picha za Video zimerecord huo mkutano. Mh Mbowe wame review hiyo mikanda kama wanavyofanya wapelelezi kujua ukweli wa Tukio. Kuhusu kusema ovyo, Lukuvi alitoa kauli ya serikali bungeni ambayo hata siwezi kumwambia mwanangu wa miaka 10 akaikubali. Nape alitoa tamko la CCM ambalo ni aibu kulirudia, Dr.K mwenyewe last week alituma barua ambayo ni Uji nga mtupu.
 
Kama inasemekana Polis walihusika katika mauaji ya Barlow kule mwanza,wanashindwa nini kurusha bomu kwa watu baki?kama waliweza kumuua mwenzao sembuse wanachama wa chadema?
 
Huyu jamaa ni msaliti...na mnafki ...hawa watu wawili ni hatari sana...wanaweza kuua hata watoto wao....ogopa sana mtu msaliti au mnafki ..ogopa sana...
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"
Kwani yeye Kigwangala alikuwepo wakati bomu likiripuka na kuona Mbowe alikuwa sehemu gani?
 
Mheshimiwa Kingwangala ni mwehu! hata elimu yake haimsaidii tena, anawaabisha drs, wote wanatumia akili ya mwigulu! yote yanamwisho, kumbuka Gadaffi na umaarufu wote mbona alifia mtaroni? CDM kaza uzi haki haipatikani kirahisi
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"

Mbowe amesema amemuona mrushaji au amesema ana ushahidi wa kuonyesha mrushaji?
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"

Wewe na huyu kigwangala wote wapuuzi akamfundishe msemaji wake wa chama kwanza kuongea then akamalizane na bashe kutoleana bastola then amfwate mbowe siyo kuongea tu kisa mdomo aulipiwi VAT
 
Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"

Unavyoendelea kuandika ndiyo unavyoonekana sura yako ya kichwani!
Kwanza kati ya Mbowe na Kigwangallah nani alikuwepo SOWETO?
Kama Kigwangallah hakuwepo,alijuaje target ya bomu kwamba lilianguka nyuma ya jukwaa?!
Tangu lini Kigwangallah akawa ha HEKIMA?
Ni hekima gani ilimtuma kukubali nafasi ya kugombea ubunge mwaka 2010 wakati anajua kwamba kwenye kura za maoni aliibuka namba tatu?
Mwenye hekima anakubali kudhulumu?
Kaipata wapi hekima isiyomuwezesha kukaa meza moja na Bashe?!
Pamoja na kumuonea kwamba ni mwalimu wa hekima; mbona hajaweza kumfundisha Samwel Sitta ili aaache kuropoka nje ya vikao vya baraza la Mawaziri?
Ni kwa nini hekima yake inabagua?
Si ilibidi aanzie nyumbani?
Hekima si hewa kwamba kila mtu aliye hai aweza kuivuta!
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"

Tshs. 7,000
Hapo umemaliza,kweli zingine nyepesi sana!!!!!!!
 
Akiwa ana changia, Mhe Kigwangala ambae ni mbunge wa jimbo la Nzega amemtaka Mbowe kuacha kuongea kauli tata kwani yeye ni kiongozi na maneno ya viongozi ni yenye kuaminiwa na watu.

Kwa mantiki hiyo, amemtaka Mbowe kuwa makini sana na kauli zake, hasa kwenye sakata la mlipuko wa bomu Arusha.

Akiwa ana changia pia akusita ku-challenge kauli ya Mbowe, kwa kusema yafuatayo "Mbowe amewezaje kumuona mrusha bomu wakati Mbowe alikuwa jukwaa kuu na bomu limerushwa kwa nyuma ya jukwaa?"

si amesema ana video au? we hujawahi kuona Obama!!!!!!!!!!!!!!! masaburi kama wenzio
 
Dr karma Mali marefu. ----- + upupuunapata -----.ccm ni mazombi
 
Hoja yenyewe imeletwa na HAMY-D, mtoa matusi unategemea iweje
 
HAMY-D kwani Nassari alikuwa wapi hadi akajeruhiwa na bomu?

Nassari hakujeruhiwa na bomu, alijeruhiwa siku iliyofuata baada ya mlipuko kwa kupigwa na wababe wanaosadikiwa kuwa wanazi wa ccm wakati wa maandalizi ya zoezi la kuanza upigaji kura katika moja ya vituo ambavyo nassari alikuwa ni wakala wa cdm.
 
Back
Top Bottom